Natafuta mchumba awe Bikira

Natafuta mchumba awe Bikira

Kifuniko we ni bikira wa kitu gani? Maana sifa za mwanamke unayemtaka namjua mmoja. Yupo Kibondo ndani ndani. Na mwingine yupo Masasi kijiji cha Namatumbusa.
 
Katoe oda ya huyo mwanamke kwenye familia jirani huko kijijini kwenu.Ikiwezekana weka oda kwenye mimba kama 5 hv! Naamini mchumba wako atapatikana hapo. Bikra na asiyetoga masikio. Mimi au yule tunaweza kuwa na sifa hizo,halafu tusikupende! Then what! Si utachukua miaka mi5 na itabidi ubadili vigezo. Yaani utavichakachua. Ila hutapata unayemtaka. Na naona yeyote atakayejitumbukiza kwako atajuta kuzaliwa. You seem to be so selfish.
 
Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo
Awe bikira
Umri: 22-28
Awe Muaminifu na mcha Mungu
Hajatoga masikio
Awe mweupe
Awe na Elimu inayozidi form 4
Awe mwalimu
Awe hapendi kuvaa suruali
Awe hapendi kuvaa mawigi
Awe tayari kuwa mke na mimi kuwa mume na sio mambo ya kuleta gender balance ndani ya nyumba
Awe tayari kuwa located
Awe tayari kufanya full body checkup kujua magonjwa yote aliyonayo ili tujipange na kujua aina ya Helath Insurance tutakayochukua baada ya kuoana
Awe anapenda watoto waisopungua 4
Awe anapenda kupika
Awe anapenda kufanya biashara
Awe anapenda kujiendeleza kielimu mpaka PHD
Awe tayari kusafiri kibiashara
Hizo ndio sifa zenye kipaumbele zingine zitaangaliwa
Nashukuru sana na nimatumaini yangu wana JF mtanifikishia ujumbe kama kuna right candidate

Hauko serious....
 
Ni ngumu sana, si rahisi mtu mmoja awe na vitu vyote hivyo kwani naona zingine haziendani
 
Nwdayz hawa wenze2 bana,,du! Bikra inaondoka tangu under 16, sasa cjui utamchukua huyo au?
 
Daaah!jomba unataka ki2 sild?ha ha ha ha,huwz pata labla unipekaz nikufndie kwe2 ZANZIBAR,coz kwe2 bila sil hamna ndoa
 
Subiri ukifa utampata peponi hurulain,maana izo cfa 2much km vl ww ndomuumba
 
:lol::lol::lol::lol:mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh kaka bikira hiyo unayo itaka ina tafsiri nyingi howevwer i hav every thing btu not bikra what about that !!!!!!!!!!!?????????????????.but thanxs
 
Hna lolote hata hao chadema ni mafisadi tena wakubwa sana na wapo ambao twwajua ww!!!!!!!!!!
 
pole baba,kwanza hongera kw kua bikira...mchana omba sana na ucku mtafute..utampata 2 ucwe na shaka.
 
Mtumie ndugu yako hasa wa kike kama unae mwenye sifa hizo akutafutie kwani watu kama hao wanajuana!!! acha kudata kihivyo.
Hiyo bahati anaepata ni ambae hakutegemea.
Pole
 
Back
Top Bottom