Natafuta mchumba baadaye kuwa mme

Natafuta mchumba baadaye kuwa mme

nimeelewa hapo "awe anajua thamani ya mwanamke"....we unajua thamani ya mwanaume???..
 
Nipo serious nahitaji mwanaume ambaye ana hofu ya mungu.,, mchapa kazi awe amwajiliwa au kiajiajili yote sawa, , mkristo RC, mwenye kujua nini thamani ya mwanamke,kitu kikubwa haswa AJITAMBUE , awe mwembamba., mweupe au maji yakunde., itakuwa vizuri zaid iwapo ata kuwa mbeya au mikoa jirani. Umri wake miaka 25-32 ,, asizid wala kuwa chini ya hapo, , awe serious kupima HIV, , sichagui kabila.

Mimi.mwembamba ., rangi yangu maji ya kunde mrefu wa wastani, elimu yangu form four., ila kwa sasa najishuhurisha ujasilia mali, mbunifu mavazi ya aina mbalimbali, umri wangu miaka 24 , dini yangu mkristo RC.,, kwa aliye serious njoo PM tuyajenge
Haya maneno angeyasema mzungu mapovu yangewatoka mithili ya foma! Kumbe wazungu wanayo haki ya kutubagua, kama wenyewe kwa wenyewe tunabaguana namna hii SAWA ENDELEA KUMTAFTA UYO MCHUMBA
 
Nipo serious nahitaji mwanaume ambaye ana hofu ya mungu.,, mchapa kazi awe amwajiliwa au kiajiajili yote sawa, , mkristo RC, mwenye kujua nini thamani ya mwanamke,kitu kikubwa haswa AJITAMBUE , awe mwembamba., mweupe au maji yakunde., itakuwa vizuri zaid iwapo ata kuwa mbeya au mikoa jirani. Umri wake miaka 25-32 ,, asizid wala kuwa chini ya hapo, , awe serious kupima HIV, , sichagui kabila.

Mimi.mwembamba ., rangi yangu maji ya kunde mrefu wa wastani, elimu yangu form four., ila kwa sasa najishuhurisha ujasilia mali, mbunifu mavazi ya aina mbalimbali, umri wangu miaka 24 , dini yangu mkristo RC.,, kwa aliye serious njoo PM tuyajenge
Kila la heri, atakuja designer mwenzio maana tuliambiwa atakupa wa kufanana nawe,mi nina rangi ya oil nimekosa chansi
 
Nipo serious nahitaji mwanaume ambaye ana hofu ya mungu.,, mchapa kazi awe amwajiliwa au kiajiajili yote sawa, , mkristo RC, mwenye kujua nini thamani ya mwanamke,kitu kikubwa haswa AJITAMBUE , awe mwembamba., mweupe au maji yakunde., itakuwa vizuri zaid iwapo ata kuwa mbeya au mikoa jirani. Umri wake miaka 25-32 ,, asizid wala kuwa chini ya hapo, , awe serious kupima HIV, , sichagui kabila.

Mimi.mwembamba ., rangi yangu maji ya kunde mrefu wa wastani, elimu yangu form four., ila kwa sasa najishuhurisha ujasilia mali, mbunifu mavazi ya aina mbalimbali, umri wangu miaka 24 , dini yangu mkristo RC.,, kwa aliye serious njoo PM tuyajenge

Njoo PM
 
Masharti meengi nilijua una hela nyingi za kujitegemea.
Kumbe unataka wa kukulea
 
Mimi nipo mbeya. Nina sifa zoote. Mbona hujibu pm zangu????
 
Mapenz mazur mkutane ghafl ktk mazingira mmoja apatwe na hisia hbr ya kulazimisha hisia za mitandaon mtaishia kuachana kila ck na kusema kuna mikosi
 
una umri wa 24yrs -----unataka wa 25 - 32yrs....... ,, utapata baka bandua.........nakwambia wewe ukifikisha 32......utamuona ni garasa......nakushauri tafuta pesa mdogo wangu,,,,,,mume yupo mahali anakusubiri.......
 
Nipo serious nahitaji mwanaume ambaye ana hofu ya mungu.,, mchapa kazi awe amwajiliwa au kiajiajili yote sawa, , mkristo RC, mwenye kujua nini thamani ya mwanamke,kitu kikubwa haswa AJITAMBUE , awe mwembamba., mweupe au maji yakunde., itakuwa vizuri zaid iwapo ata kuwa mbeya au mikoa jirani. Umri wake miaka 25-32 ,, asizid wala kuwa chini ya hapo, , awe serious kupima HIV, , sichagui kabila.

Mimi.mwembamba ., rangi yangu maji ya kunde mrefu wa wastani, elimu yangu form four., ila kwa sasa najishuhurisha ujasilia mali, mbunifu mavazi ya aina mbalimbali, umri wangu miaka 24 , dini yangu mkristo RC.,, kwa aliye serious njoo PM tuyajenge
Niliwahi kusikia dhehebu la RC linasheria kali sana sasa naona hadi waumini wake wanazitimiza kwenye utafuataji wa mume, safi sana, ndoano bila chambo unaweza ukavua magugu, nitag akinasa ila endelea kumuomba Mungu akupe hitaji la moyo wako
 
Mimi nimeajiri je sitakiwi
Nipo serious nahitaji mwanaume ambaye ana hofu ya mungu.,, mchapa kazi awe amwajiliwa au kiajiajili yote sawa, , mkristo RC, mwenye kujua nini thamani ya mwanamke,kitu kikubwa haswa AJITAMBUE , awe mwembamba., mweupe au maji yakunde., itakuwa vizuri zaid iwapo ata kuwa mbeya au mikoa jirani. Umri wake miaka 25-32 ,, asizid wala kuwa chini ya hapo, , awe serious kupima HIV, , sichagui kabila.

Mimi.mwembamba ., rangi yangu maji ya kunde mrefu wa wastani, elimu yangu form four., ila kwa sasa najishuhurisha ujasilia mali, mbunifu mavazi ya aina mbalimbali, umri wangu miaka 24 , dini yangu mkristo RC.,, kwa aliye serious njoo PM tuyajenge
 
Na mimi nipo huku huku mikoa ya jirani ... [emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom