Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,108
- 4,751
Mungu mkubwa unaweza kupata umtakaye
Unapitaga huku loooooh[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Khaa... Hii kali sana ila hili ndio ndoto ya wanaume wengi
With any luck unaweza ukapata lakini... Umri wa miaka 19-20 ni umri mbaya wa kuingia kwenye ndoa HASA YA KIKRISTO!
Kumbuka huyu hajaona mengi ya dunia
Kumbuka huyu hajaonja ladha tofauti tofauti za zakari
Kumbuka huyu atakuwa hana uzoefu wowote na mapenzi (shida na raha zake)
Kumbuka atakuwa na furaha sana ya kupata mume lakini sio guarantee ya kukupenda kwa dhati
Kumbuka kuna first love experience... Kupenda bila sababu (haya ni mapenzi mabaya kabisa) na inaweza kumtokea mmoja wenu, hasa yeye katikati ya ndoa... Usiombee hii kitu...
Ndoa ni gereza la hiari la mapenzi... Pata mfungwa aliyemaliza kifungo ama mtuhumiwa aliyekaa mahabusu... Huyu hatakusumbua
Ndugu Milton Jackson mimi kakako nakushauri hayaMambo vp? Hapa nilipo nipo Single ..nina miaka 25yrs natafuta mchumba wa kuoa.
Huyo bibie nataka awe na miaka 19-21...awe na sura nzuri...awe mkristo...Nina kazi yangu nzuri tu nimeajiliwa kwa hiyo usiwaze nitaishije naww...Naahidi kukuoa kwa ndoa ya Kanisani endapo kweli nitathibitisha uko na Bikra yako...Mimi mie natoka Kahama-Shinyanga 0765 626 871
Mambo vp? Hapa nilipo nipo Single ..nina miaka 25yrs natafuta mchumba wa kuoa.
Huyo bibie nataka awe na miaka 19-21...awe na sura nzuri...awe mkristo...Nina kazi yangu nzuri tu nimeajiliwa kwa hiyo usiwaze nitaishije naww...Naahidi kukuoa kwa ndoa ya Kanisani endapo kweli nitathibitisha uko na Bikra yako...Mimi mie natoka Kahama-Shinyanga 0765 626 871
Mshauri nasaha loh chamdeko wangu [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unapitaga huku loooooh[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Mweupe sio, au wasemaje Ngosha?Mambo vp? Hapa nilipo nipo Single ..nina miaka 25yrs natafuta mchumba wa kuoa.
Huyo bibie nataka awe na miaka 19-21...awe na sura nzuri...awe mkristo...Nina kazi yangu nzuri tu nimeajiliwa kwa hiyo usiwaze nitaishije naww...Naahidi kukuoa kwa ndoa ya Kanisani endapo kweli nitathibitisha uko na Bikra yako...Mimi mie natoka Kahama-Shinyanga 0765 626 871
[emoji15] [emoji23] bado ni bikira zile za kutengenezaMshana bana ebu acha kumpa hopes zisizokuwepo, labda ya kununua.
hahaha nikajua nimeona peke yangu, anakwambia ana kazi nzuri sijui ndo ikoje hiyo halafu anasema ameajiriwa.una miaka 25years eee ,interesting. ila fresh ukiwapata wengi nitupie mmoja
ngoja aje akutane na man made virgin heheBikra?? [emoji3][emoji3][emoji3] acha utani bana. Unampata wapi miaka hii
I wish you could share that knowledge.Utampata mkuu ila kumjua mwenye nayo orignal ndio inaweza kuwa kazi maana kuna zile bikra za mfupi yaani disposable[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kla rakheli mkuuMambo vp? Hapa nilipo nipo Single ..nina miaka 25yrs natafuta mchumba wa kuoa.
Huyo bibie nataka awe na miaka 19-21...awe na sura nzuri...awe mkristo...Nina kazi yangu nzuri tu nimeajiliwa kwa hiyo usiwaze nitaishije naww...Naahidi kukuoa kwa ndoa ya Kanisani endapo kweli nitathibitisha uko na Bikra yako...Mimi mie natoka Kahama-Shinyanga 0765 626 871
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Ntwalage aghalonje ngw'anike kokijijiNg'wangaluka ngosha kamambe. Hapa umefeli.
Ahsanteh sana kakaNdugu Milton Jackson mimi kakako nakushauri haya
1. Usitafute mwanamke mwenye bikra sababu bikra haitojenga maisha yako.Muombe Mungu akupe mke mwema mchamungu ambaye atakuwa na akili ya kimaisha.
2.Usitafute mwanamke mzuri wa umbo,kwani umbo lake halitakusaidia kumaliza umaskini/shida ulizonazo.Mwombe Mungu akupe mke mwema mwenye tabia nzuri ili uwe na ndoa ya kudumu.
3.Usitafute mwanamke kwa kuwa una kazi na kipato.Tafuta mwanamke ambaye atakuwa mkeo na hakikisha tayari umejiandaa kuingia katika mahusiano ya ndoa,sio unaoa leo baada ya wiki/mwezi umenuniwa unatoa talaka.
4.Jitahidi sana kufanya maamuzi yenye busara hasa wakati unapokaribia kuoa.Hakuna mwanaume duniani aliyeoa mwanamke malaika.
5.Epuka pia kuoa kwa sababu fulani au rafiki yako kaoa na wewe ndo ufanye kama mashindano.Fanya maamuzi sahihi na ya busara kila wakati.Mshirikishe sana Mungu katika hili.
zipoje izo?Utampata mkuu ila kumjua mwenye nayo orignal ndio inaweza kuwa kazi maana kuna zile bikra za mfupi yaani disposable[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]