Natafuta mchumba Bikra(ke)

Natafuta mchumba Bikra(ke)

Khaa... Hii kali sana ila hili ndio ndoto ya wanaume wengi
With any luck unaweza ukapata lakini... Umri wa miaka 19-20 ni umri mbaya wa kuingia kwenye ndoa HASA YA KIKRISTO!
Kumbuka huyu hajaona mengi ya dunia
Kumbuka huyu hajaonja ladha tofauti tofauti za zakari
Kumbuka huyu atakuwa hana uzoefu wowote na mapenzi (shida na raha zake)
Kumbuka atakuwa na furaha sana ya kupata mume lakini sio guarantee ya kukupenda kwa dhati
Kumbuka kuna first love experience... Kupenda bila sababu (haya ni mapenzi mabaya kabisa) na inaweza kumtokea mmoja wenu, hasa yeye katikati ya ndoa... Usiombee hii kitu...

Ndoa ni gereza la hiari la mapenzi... Pata mfungwa aliyemaliza kifungo ama mtuhumiwa aliyekaa mahabusu... Huyu hatakusumbua
Unapitaga huku loooooh[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
mtoto wa watu anasoma sasa hivi kuwa mvumilivu mkuu pia hajaona mengi badoo miaka 21 mmmh bado sanaa tembea tembeana wewe then ubadilishe hilo wazo la uvirgin

nawasilisha
 
Mambo vp? Hapa nilipo nipo Single ..nina miaka 25yrs natafuta mchumba wa kuoa.
Huyo bibie nataka awe na miaka 19-21...awe na sura nzuri...awe mkristo...Nina kazi yangu nzuri tu nimeajiliwa kwa hiyo usiwaze nitaishije naww...Naahidi kukuoa kwa ndoa ya Kanisani endapo kweli nitathibitisha uko na Bikra yako...Mimi mie natoka Kahama-Shinyanga 0765 626 871
Ndugu Milton Jackson mimi kakako nakushauri haya
1. Usitafute mwanamke mwenye bikra sababu bikra haitojenga maisha yako.Muombe Mungu akupe mke mwema mchamungu ambaye atakuwa na akili ya kimaisha.
2.Usitafute mwanamke mzuri wa umbo,kwani umbo lake halitakusaidia kumaliza umaskini/shida ulizonazo.Mwombe Mungu akupe mke mwema mwenye tabia nzuri ili uwe na ndoa ya kudumu.
3.Usitafute mwanamke kwa kuwa una kazi na kipato.Tafuta mwanamke ambaye atakuwa mkeo na hakikisha tayari umejiandaa kuingia katika mahusiano ya ndoa,sio unaoa leo baada ya wiki/mwezi umenuniwa unatoa talaka.
4.Jitahidi sana kufanya maamuzi yenye busara hasa wakati unapokaribia kuoa.Hakuna mwanaume duniani aliyeoa mwanamke malaika.
5.Epuka pia kuoa kwa sababu fulani au rafiki yako kaoa na wewe ndo ufanye kama mashindano.Fanya maamuzi sahihi na ya busara kila wakati.Mshirikishe sana Mungu katika hili.
 
Mambo vp? Hapa nilipo nipo Single ..nina miaka 25yrs natafuta mchumba wa kuoa.
Huyo bibie nataka awe na miaka 19-21...awe na sura nzuri...awe mkristo...Nina kazi yangu nzuri tu nimeajiliwa kwa hiyo usiwaze nitaishije naww...Naahidi kukuoa kwa ndoa ya Kanisani endapo kweli nitathibitisha uko na Bikra yako...Mimi mie natoka Kahama-Shinyanga 0765 626 871

Yeleuuwiii [emoji2][emoji2][emoji2] sasa mkuu na wewe una bikra ama? Ama unataka tu mwenye bikra halafu wewe hauna bikra hata moja
? [emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]
 
Mambo vp? Hapa nilipo nipo Single ..nina miaka 25yrs natafuta mchumba wa kuoa.
Huyo bibie nataka awe na miaka 19-21...awe na sura nzuri...awe mkristo...Nina kazi yangu nzuri tu nimeajiliwa kwa hiyo usiwaze nitaishije naww...Naahidi kukuoa kwa ndoa ya Kanisani endapo kweli nitathibitisha uko na Bikra yako...Mimi mie natoka Kahama-Shinyanga 0765 626 871
Mweupe sio, au wasemaje Ngosha?
Nina dogo langu limekaa kisomali flani
 
Utampata mkuu ila kumjua mwenye nayo orignal ndio inaweza kuwa kazi maana kuna zile bikra za mfupi yaani disposable[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
I wish you could share that knowledge.
 
Mambo vp? Hapa nilipo nipo Single ..nina miaka 25yrs natafuta mchumba wa kuoa.
Huyo bibie nataka awe na miaka 19-21...awe na sura nzuri...awe mkristo...Nina kazi yangu nzuri tu nimeajiliwa kwa hiyo usiwaze nitaishije naww...Naahidi kukuoa kwa ndoa ya Kanisani endapo kweli nitathibitisha uko na Bikra yako...Mimi mie natoka Kahama-Shinyanga 0765 626 871
Kla rakheli mkuu
 
Unatafuta Bikra JF
Za Mbele Hakuna Humu Labda Za Nyuma
 
Ndugu Milton Jackson mimi kakako nakushauri haya
1. Usitafute mwanamke mwenye bikra sababu bikra haitojenga maisha yako.Muombe Mungu akupe mke mwema mchamungu ambaye atakuwa na akili ya kimaisha.
2.Usitafute mwanamke mzuri wa umbo,kwani umbo lake halitakusaidia kumaliza umaskini/shida ulizonazo.Mwombe Mungu akupe mke mwema mwenye tabia nzuri ili uwe na ndoa ya kudumu.
3.Usitafute mwanamke kwa kuwa una kazi na kipato.Tafuta mwanamke ambaye atakuwa mkeo na hakikisha tayari umejiandaa kuingia katika mahusiano ya ndoa,sio unaoa leo baada ya wiki/mwezi umenuniwa unatoa talaka.
4.Jitahidi sana kufanya maamuzi yenye busara hasa wakati unapokaribia kuoa.Hakuna mwanaume duniani aliyeoa mwanamke malaika.
5.Epuka pia kuoa kwa sababu fulani au rafiki yako kaoa na wewe ndo ufanye kama mashindano.Fanya maamuzi sahihi na ya busara kila wakati.Mshirikishe sana Mungu katika hili.
Ahsanteh sana kaka
 
Back
Top Bottom