Natafuta mchumba Bikra(ke)

Endelea kutafta2 kjana ang!!

Ila huwez kupata hyo ktu kwa urahis!
 
Kwa hapa ni ngumu kuwapata mkuu ila nenda pale buguruni kimboka wapo wengi sana
 
Jamaa hataki kupashiwa kiporo moto na ma ex.kama nawaona vile msio ma bikra mnavo waka moto kwa jamaaa[emoji23][emoji23][emoji23].Bikra ni tamu lakin especially ndio ukaoa akawa mke.japo siku hz n ngumu hizo kuzipata mithili upo wodi ya wazazi.
 
Hautak chama la wana!!
Akikuambia bikra utaijua sku baada ya ndoa, maana kamuandalia mume atakaye muoa itakuaje apo???
 
Mkuu anatafuta bikra kwenye wodi ya wazaz(jf)
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Bora chungwa kuliko chenza!mi sasahiv nikitaka kuoa natafuta dunganyembe tu
 
Bora chungwa kuliko chenza!mi sasahiv nikitaka kuoa natafuta dunganyembe tu
Haaaa aisee [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Paka akihama alipokulia then akakarudi baada ya muda hawezi kuwa mwema kama mwanzo, hao walio kaa mahabusu hufikia wakati wanakumbuka vya kutupiwa mgao haukolei!
 
raha ya

raha ya ngoma ichezwe kabla ya sherehe

Ndio unaweza kupata bonus wakati wa kucheza ngoma kabla ya sherehe bikra ukaikuta na baada ya sherehe pia ukaikuta [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Kalagha baho
 
We bikra unayo icje ikawa unataka bikra afu we Ata marinda Huna...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…