Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaa aisee [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Bora chungwa kuliko chenza!mi sasahiv nikitaka kuoa natafuta dunganyembe tu
zipoje izo?
raha ya ngoma ichezwe kabla ya shereheEndeleeni kusaka mke mwenye bikra wapo wengi sana [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
View attachment 791040
Paka akihama alipokulia then akakarudi baada ya muda hawezi kuwa mwema kama mwanzo, hao walio kaa mahabusu hufikia wakati wanakumbuka vya kutupiwa mgao haukolei!Khaa... Hii kali sana ila hili ndio ndoto ya wanaume wengi
With any luck unaweza ukapata lakini... Umri wa miaka 19-20 ni umri mbaya wa kuingia kwenye ndoa HASA YA KIKRISTO!
Kumbuka huyu hajaona mengi ya dunia
Kumbuka huyu hajaonja ladha tofauti tofauti za zakari
Kumbuka huyu atakuwa hana uzoefu wowote na mapenzi (shida na raha zake)
Kumbuka atakuwa na furaha sana ya kupata mume lakini sio guarantee ya kukupenda kwa dhati
Kumbuka kuna first love experience... Kupenda bila sababu (haya ni mapenzi mabaya kabisa) na inaweza kumtokea mmoja wenu, hasa yeye katikati ya ndoa... Usiombee hii kitu...
Ndoa ni gereza la hiari la mapenzi... Pata mfungwa aliyemaliza kifungo ama mtuhumiwa aliyekaa mahabusu... Huyu hatakusumbua
AiseeeMtengeneze mwenyewe
[emoji23][emoji23]Aiseee
Hahaaaa. Nimecheka sana lol.Mtengeneze mwenyewe
Hahaaa. Wacha niendelee kucheka basi.Hahah!!! Cheka tu..
[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]Hahaaa. Wacha niendelee kucheka basi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
raha ya
raha ya ngoma ichezwe kabla ya sherehe