Natafuta mchumba(future husband)

Status
Not open for further replies.
UMESAHAU kua awe na Nguvu za kiume. anaweza kuwa na yote kumbe hasimamishi mpaka apewe bosster na betri la meli au ana kidole cha mwisho cha mguu

Hahahahahahahahah
 
Hiyo digrii mi sina kiukweli na huo urefu unaoutaka sinaa tena, unielewe. Hivo vingine Mungu amenibariki bwana, sasa nije huko PM au nisipoteze Muda?
 
Utampata tu, ila sijui kama kuna tofauti ya mlevi na mnywaji lakini kwa nnavyojua, maadam wavaa vipedo wameenguliwa kwenye game hiyo, hicho kigezo cha ulevi kitakuwa ni mchujo mkubwa kwa wahusika. God bless you!
 
sifa zote ninazo ila kitambi na ninakipenda kitambi changu,nenda tuu dada
 
Walokole wana nini naona vigezo vikiwekwa hapa kwenye kipengele cha dini msisitizo kwenye mabano asiwe mlokole.!
 
Shida ya wanawake walio fika vyuo huwa wanataka kuweka elimu zao sambamba na mahusiano yao...hapo hata ukimpata mtu utakuwa unamushim sababu ya elimu yake....mapenz na vigezo vyako haviendan kabisa kabla ya kutafuta mchumba tafuta kwanza darasa la mahusiano na ndoa na vip watu wanaishi...wengi mnadhan ukubwa wa elimu ndio urahisi wa maisha au uwezo wa kufikiri kitu ambacho sio kweli kwa asilimia kubwa haswa kwa elimu yetu ya bongo...tafuta mtu atakayekupenda na unaye ona ana potential even if hayupo kwenye level unazozitaka msaidie afike mbali kwa kumpa moyo na kampan yake kupitia wewe atajituma...tatizo hamtaki kujenga kitu chenu mnataka kuanzia kati kati kwenda juu au kuanzia juu..!..na mbaya zaid wanaume wasomi hawawapend wanawake wasomi sababu wanawake mnatumia elimu kama defence kwa mwanaume ndoa zao zinamisuguano sana..!..huwez kupata mume had utakapo kuwa practial na kuacha nadharia.!...unaweza kuwa na degree zako na ukaendelea na shughuli zako na mumeo akawa akawa na form four yake na biashara zake na hata kipato kikubwa kkuzid na maisha yakaendelea kikubwa usiingize degree zako kati yenu unless ni kwa manufaa ya family..!..jitafakari
 
Sasa ganja inashida gani,eniwei hongera kwa kufanya yoga na beach aktivite,mungu akujaalie upate unachotaka ingawa hicho kigezo cha digirii kwa maoni yangu hakina mashiko,kuna maprofesa nawajua kibao tu wa hovyo kama lipumba.
 
sifa zote ninazo ila kitambi na ninakipenda kitambi changu,nenda tuu dada
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Wanasema mwanaume bila kitambi ni sawa na nyumba bila balcony/kibaraza
 
Hiyo digrii mi sina kiukweli na huo urefu unaoutaka sinaa tena, unielewe. Hivo vingine Mungu amenibariki bwana, sasa nije huko PM au nisipoteze Muda?
Tunza Muda wako Kaka.Barikiwa.
 
Utampata tu, ila sijui kama kuna tofauti ya mlevi na mnywaji lakini kwa nnavyojua, maadam wavaa vipedo wameenguliwa kwenye game hiyo, hicho kigezo cha ulevi kitakuwa ni mchujo mkubwa kwa wahusika. God bless you!
Yes tofauti ipo.Thank you,God bless you too kaka
 
una bikra?

una chura?
 
Walokole wana nini naona vigezo vikiwekwa hapa kwenye kipengele cha dini msisitizo kwenye mabano asiwe mlokole.!
Walokole hawana shida kabisa,ni tofauti ya kiimani Tu ambayo siko tayari kudeal nayo.
Ahsante.God bless.
 
Ahsante Kwa ushauri na ufafanunuzi wa kina,kamwe sijawahi muheshimu au kumdharau mtu Kwa kigezo cha elimu/kipato/dini n.k,kigezo cha elimu ni pendekezo binafsi haihusiani na kipato wala heshima au dharau...
Ubarikiwe.
 
Sasa ganja inashida gani,eniwei hongera kwa kufanya yoga na beach aktivite,mungu akujaalie upate unachotaka ingawa hicho kigezo cha digirii kwa maoni yangu hakina mashiko,kuna maprofesa nawajua kibao tu wa hovyo kama lipumba.
Ahsante Kaka,ndio maana nimeweka elimu sambamba na vigezo vingine Kwa kutambua kua degree sio Kila kitu.
Barikiwa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…