Tupo ila tunaogopa keshakuwa bibi bombaSubiri wachumba waje.
Hivi vyote vimetoka kinywani mwako?UMESAHAU kua awe na Nguvu za kiume. anaweza kuwa na yote kumbe hasimamishi mpaka apewe bosster na betri la meli au ana kidole cha mwisho cha mguu
[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]Mnatafuta wachumba halafu mnakuwa na masharti mengiiii
Kwann mkuu..?Hivi vyote vimetoka kinywani mwako?
Ulichotoa na ulivyo ni tofauti kabisaKwann mkuu..?
Tatizo walipokuwa 18-24 walikuwa hawashikiki.Tupo ila tunaogopa keshakuwa bibi bomba
weka picha yako ziba uso watu waone figure iyo....simple like thatKwenye HIV hapo mbn wewe haujaweka status yako,jizi tu na wewe,afu unaonekana una amri,umri umekupanikisha..mkiwaga below 30 mna mbwembwe sana,dah asante MUNGU kwa kunileta mwanaume hapa duniani.
Duh!!weka picha yako ziba uso watu waone figure iyo....simple like that
mambo ya mie sijui kijeba mara mrefu wala hatuyataki