Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
Mchumba anayepatikana kwenye kurasa za mitandao atakuwa MALAYA tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi mtu kama mimi mtaniitaje,baba mkristo mama muislamu maana naona vigezo vya ndoa vinanipita juu kwa juu
Wewe tutakuita Shosti na ni Mkristo, labda uwe umeukana ukristo...
Mchumba anayepatikana kwenye kurasa za mitandao atakuwa MALAYA tu!
hivi mtu kama mimi mtaniitaje,baba mkristo mama muislamu maana naona vigezo vya ndoa vinanipita juu kwa juu
mhh labdaMKRITOISLAM!!!!!!!!!!!!!! unaonaje hilo????
bado naona wenye vigezo humu hamnaBado PM hazijafurika tu mpendwa?
je yeye yuko tayari kama anaweza unaweza mwambiE aniPM kama ni member kasio naweza give my address zangu umfikishiemmh 19 years ? huyo si mtoto bado? subiri kidogo utapata mke mwema. Nina mdogo wangu yupo mwaka wa tatu, miaka 22 sema ni mlutheri.
So hana vigezo unavyotaka.
bibi yangu mzaa baba halikuwa anapenda kunita hivyo maganga mkweli that why i like the name maganga ni jina la kinyamwezi sina tafsiri sahihi ya jina langu ila i promise ntakujibu.Maganga mkweli jina lako maana yake nini.
asante mkuu.be blessedKila la kheri ndg, bila shaka utaoneshwa tu, nafikiri delay inasababishwa na vigezo ila wako wengi wanaohitaji pia.
duuh mkuu kwa hiyo tulio serious na hili tunapoteza muda tu humu.mhh ngoja tuangalie upepoMchumba anayepatikana kwenye kurasa za mitandao atakuwa MALAYA tu!
kimya
Walegezee masharti kidogo basi
Walegezee masharti kidogo basi
if there serious and commited girl anaweza kuniPM tukaeleweshana walau awe na 80% ya vigezo basi.