Aya bana ,,mie nawatakia kila kheri !! I hope nawewe umekidhi vigezo vyakeEnhee kabisa
Enhee kabisa
Utapata taabu sana kupata mtu, kwanini umri huo hujawahi kufanya mapenzi? Huoni kwamba unatisha?Habari zenu wakuu.Mimi ni kijana mwenye miaka 29 cjawahi kuwa na mchumba wala sijawahi Fanya mapenzi
Natafuta binti awe mpenzi wangu baadae nioe awe na miaka 18-24 kabila lolote Dino yoyote anayejua maadili ya kitanzania
Ambaye yupo tayari ani pm tena itakuwa vizuri na yeye akiwa bikra mana Mimi ni bikra
Umesema ,,maana duuhhh mschana bikra ,,anasumbua unaweza jikuta unazaba kibao..yaan mpaka unafanikiwa mikono yote umeng'atwaUnatakiwa uanze na mjimama akufunze kwanza furaha, then baada tafuta huyo mchumba.