KUNDULE
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 318
- 177
Habari zenu wakuu,
Mimi ni kijana mwenye miaka 29 sijawahi kuwa na mchumba wala sijawahi fanya mapenzi natafuta binti awe mpenzi wangu baadae nioe awe na miaka 18-24 kabila lolote Dino yoyote anayejua maadili ya kitanzania. Ambaye yupo tayari ani pm tena itakuwa vizuri na yeye akiwa bikra mana mimi ni bikra.
Mimi ni kijana mwenye miaka 29 sijawahi kuwa na mchumba wala sijawahi fanya mapenzi natafuta binti awe mpenzi wangu baadae nioe awe na miaka 18-24 kabila lolote Dino yoyote anayejua maadili ya kitanzania. Ambaye yupo tayari ani pm tena itakuwa vizuri na yeye akiwa bikra mana mimi ni bikra.