principles
Member
- Nov 17, 2017
- 30
- 10
Habari za wakati huu...
Tunapoelekea kumalizia mwaka na kuanza mwaka mwingine pia naendelea kuwa kurudia kutangaza tenaaa kuwa natafuta mchumba wa kike umri kuanzia miaka 18 mpaka 25..
Elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea
Asiwe kibonge sana wala mwembambamba sana
Dini yoyote ile..
Sifa zangu za awali Elimu degree moja mrefu wastani wa futi tano
Sifa zingine PM zaidi karibuni
Tunapoelekea kumalizia mwaka na kuanza mwaka mwingine pia naendelea kuwa kurudia kutangaza tenaaa kuwa natafuta mchumba wa kike umri kuanzia miaka 18 mpaka 25..
Elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea
Asiwe kibonge sana wala mwembambamba sana
Dini yoyote ile..
Sifa zangu za awali Elimu degree moja mrefu wastani wa futi tano
Sifa zingine PM zaidi karibuni