Natafuta mchumba mgumba au ambae hayuko tayari kuzaa

Natafuta mchumba mgumba au ambae hayuko tayari kuzaa

Shukran kwa kufukua hil kaburi maana nilishaanza kumuonea hurumaa.Kumbe ana act tu hapa
 
Aone watu dadeki
 
Watu wana fukunyua ile mbaya
 
Habari

Ni kijana wa miaka 27
Kutokana na matatizo Yangu(kiafya)sitoweza kuzalisha kwa njia ya kawaida.
Ukiacha tatizo hilo,Niko mzima wa afya na mchapa kazi.
Nimejiajiri
Ni msomi,mstaarabu na mvumilivu.
Kama mtoto tunaweza kuasili kama tukikubaliana.

Sifa zako
Uwe mgumba au uwe tayari tuishi bila kuzaa
Usiwe mnene sana
Uwe unajishughulisha
Rangi yoyote

Maswali mengine njoo DM siwezi kuandika kila kitu.
Wewe si ulisema hutaki kuzaa sababu unakwepa majukumu? Mbona wasema tena ni matatizo ya kiafya? Bora uweke wazi shida yako je umewahi kuwa shoga? Je una maambukizi ya hiv? Je una matatizo ya uzazi? Hapo ukiweka wazi utapata ambaye ataridhika na hali yako yeyote, coz love doesn't ask why
 
Mbona huku jitokeza nilipokua nakutafuta,hataivyo hujachelewa
 
Kama utakuwa umezaliwa peke yako kwenu basi itakuwa poa lakini kama kuna wanawake basi uyu mke ajiandae kuwa na moyo wa uvumilivu
 
Wewe si ulisema hutaki kuzaa sababu unakwepa majukumu? Mbona wasema tena ni matatizo ya kiafya? Bora uweke wazi shida yako je umewahi kuwa shoga? Je una maambukizi ya hiv? Je una matatizo ya uzazi? Hapo ukiweka wazi utapata ambaye ataridhika na hali yako yeyote, coz love doesn't ask why
Huyu jamaa ana shida kubwa sana..Nimeona uzi wake akiponda kuhusu suala la kuwa na mtoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji33][emoji33] Huyu hawezi kuzalisha au ni Bwabwa... So anatafuta mgumba at least asipate changamoto za kuhusu mtoto
 
Back
Top Bottom