Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
AmeenUtampata usijali wakati bado, tupo level moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmeenUtampata usijali wakati bado, tupo level moja
KaribuAmeen
Shukran kwa kufukua hil kaburi maana nilishaanza kumuonea hurumaa.Kumbe ana act tu hapaKwanini sitaki kupata mtoto
Habari, Kama kijana wa kiume mwenye uwezo wa kuzaa lakini sitotaka mtoto katika dunia hii kwa sababu zifuatazo; Sitaki kupoteza zaidi ya miaka 20 yangu kulea kiumbe. Kulea mtoto mpaka aweze kujitegemea minimum ni miaka 20, kwanini nipoteze umri wangu kulea wakati ninaweza kutumia mda huo wa...www.jamiiforums.com
HahahahaShukran kwa kufukua hil kaburi maana nilishaanza kumuonea hurumaa.Kumbe ana act tu hapa
Aone watu dadekiKwanini sitaki kupata mtoto
Habari, Kama kijana wa kiume mwenye uwezo wa kuzaa lakini sitotaka mtoto katika dunia hii kwa sababu zifuatazo; Sitaki kupoteza zaidi ya miaka 20 yangu kulea kiumbe. Kulea mtoto mpaka aweze kujitegemea minimum ni miaka 20, kwanini nipoteze umri wangu kulea wakati ninaweza kutumia mda huo wa...www.jamiiforums.com
😁 😁 😁 😁asiyetaka kuzaa kabisa yaani sie ni full kula bata tuu
Okay.So kumbe ni kama ulijijua mapemaa kidogo.Huu uzi wa zamani,nimeongea ukweli sasa naigiza kitu gani?
Watu wana fukunyua ile mbayaKwanini sitaki kupata mtoto
Habari, Kama kijana wa kiume mwenye uwezo wa kuzaa lakini sitotaka mtoto katika dunia hii kwa sababu zifuatazo; Sitaki kupoteza zaidi ya miaka 20 yangu kulea kiumbe. Kulea mtoto mpaka aweze kujitegemea minimum ni miaka 20, kwanini nipoteze umri wangu kulea wakati ninaweza kutumia mda huo wa...www.jamiiforums.com
Wewe si ulisema hutaki kuzaa sababu unakwepa majukumu? Mbona wasema tena ni matatizo ya kiafya? Bora uweke wazi shida yako je umewahi kuwa shoga? Je una maambukizi ya hiv? Je una matatizo ya uzazi? Hapo ukiweka wazi utapata ambaye ataridhika na hali yako yeyote, coz love doesn't ask whyHabari
Ni kijana wa miaka 27
Kutokana na matatizo Yangu(kiafya)sitoweza kuzalisha kwa njia ya kawaida.
Ukiacha tatizo hilo,Niko mzima wa afya na mchapa kazi.
Nimejiajiri
Ni msomi,mstaarabu na mvumilivu.
Kama mtoto tunaweza kuasili kama tukikubaliana.
Sifa zako
Uwe mgumba au uwe tayari tuishi bila kuzaa
Usiwe mnene sana
Uwe unajishughulisha
Rangi yoyote
Maswali mengine njoo DM siwezi kuandika kila kitu.
27 yrs. Kukosa mtoto ukate tamaa?
Mimi Nina 26 natafuta mtoto lakin Bado sijakata tamaa
Pole sana kwa tatizo lako. Nimeumia baada ya kuvaa viatu vyako.
Huyu jamaa ana shida kubwa sana..Nimeona uzi wake akiponda kuhusu suala la kuwa na mtoto[emoji23][emoji23][emoji23][emoji33][emoji33] Huyu hawezi kuzalisha au ni Bwabwa... So anatafuta mgumba at least asipate changamoto za kuhusu mtotoWewe si ulisema hutaki kuzaa sababu unakwepa majukumu? Mbona wasema tena ni matatizo ya kiafya? Bora uweke wazi shida yako je umewahi kuwa shoga? Je una maambukizi ya hiv? Je una matatizo ya uzazi? Hapo ukiweka wazi utapata ambaye ataridhika na hali yako yeyote, coz love doesn't ask why
NakujaNjoo PM