Natafuta mchumba / mke mwema, i am more than serious

Natafuta mchumba / mke mwema, i am more than serious

Unaonekana uko serious all the best


Kweli Mkuu,

Nipo serious, si unajua tena maisha, kidole kimoja hakivunji chawa, nazidi kumuomba mungu labda atanisaidia ili ndoto yangu ya muda mrefu iweze kutimia
 
WEWE katav ukome kumshushia hadhi MTARAJIWA/BABAWATOTO/DIRECTOR NA MUPENZ WANGU...stak kabsa..nan kakwambia ajui pm ninin?wakat kachange ID TU LEO lakin ni mkongwe wa jf usipime

nimempenda ivo ivo mwenyewe mkome tena mkomae kutuvunja moyo...:love::love:

katav niulizie bas vp sasa majibu?au hayupo tena kasepa?

Maneno yako yamenifariji sana mpendwa, kwa kuwa mungu ni mwema kwa kila mtu hapa duniani, basi ndoto yangu ya muda mrefu itatimia.

Mungu akubariki sana mpendwa!
 
WEWE katav ukome kumshushia hadhi MTARAJIWA/BABAWATOTO/DIRECTOR NA MUPENZ WANGU...stak kabsa..nan kakwambia ajui pm ninin?wakat kachange ID TU LEO lakin ni mkongwe wa jf usipime

nimempenda ivo ivo mwenyewe mkome tena mkomae kutuvunja moyo...:love::love:

katav niulizie bas vp sasa majibu?au hayupo tena kasepa?
Enhee, mmefikia wapi kwenye pm zenu, weka japo pm moja tuone mlivyokuwa mnawekeana sheria na kanuni za penzi lenu!
 
Maneno yako yamenifariji sana mpendwa, kwa kuwa mungu ni mwema kwa kila mtu hapa duniani, basi ndoto yangu ya muda mrefu itatimia.

Mungu akubariki sana mpendwa!
Hongera sana kaka nadhani huyo atakufaa zaidi!!
 
mhh jaman kamat ya wagen na ayo masikio?
apana
labda uende kwa fund seremala akachonge masikio ayo na msumeno yakikaa sawa apo sawa lasivyo utakuwa kamat ya usaf utakuwa choon kuangalia usaf wa choo:love::love:
Tehe tehe teheeeh!! Hata huko kutanifaa.....
 
we r seriouz
habari yake dig dig banaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:love:mis u boy....itakuwaje kwan ukidondoka kigeto pale jion ukitoka mzgon?mwambie bgrta nina mzgo wake jaman asinifanyie ivo akiniuz zaid ntaenda kuuweka kwenye tukutuku yake ohhh m tayad
Huo mzigo kwanini usikinikabidhi mimi nikitimba leo magetoni kwako halafu nikija nikute na kile kitu kitu Malkia Elizabeth alichotia sahihi yake
 
Karibu sana JF...na nakutakia kila la heri, usimsahau Mungu kwenye utafutaji wako!
 
Duh hivi na wanaume nao vigumu kupata wachumba? nilidhani sie tu. all the best Omba pia Mungu akusaidie kwa hili
 
Karibu sana JF...na nakutakia kila la heri, usimsahau Mungu kwenye utafutaji wako!

Habari za siku tele Madame KH...Mbona umeadimika hivyo? Unapatikana mitaa ipi? hahahahahaha LOL! BAK mzima kabisa. Ubarikwe sana. Kila la heri mtafutaji hata hapa wapo wanawake wa maana sana ambao wanastahili kabisa kupata mwenzi wao.
 
Habari za siku tele Madame KH...Mbona umeadimika hivyo? Unapatikana mitaa ipi? hahahahahaha LOL! BAK mzima kabisa. Ubarikwe sana. Kila la heri mtafutaji hata hapa wapo wanawake wa maana sana ambao wanastahili kabisa kupata mwenzi wao.

BAK...habari zangu ni njema kabisa. Ni kweli nimeadimika...ni majukumu tu kwa kweli. Mimi napatikana nyumbani...karibu sana unitembelee.

Ubarikiwe na wewe BAK
 
  • Thanks
Reactions: BAK
BAK...habari zangu ni njema kabisa. Ni kweli nimeadimika...ni majukumu tu kwa kweli. Mimi napatikana nyumbani...karibu sana unitembelee.

Ubarikiwe na wewe BAK

Shukrani Madame KH...Pole sana kwa majukumu naona pia safari yako ulifika salama salmini, Mungu ashukuriwe. Ahsante kwa kunikaribisha kwenye majaliwa muda ukiniruhusu nitapita mitaa ya huko kwako. Ukae kwa amani na ubarikiwe.
 
Wapendwa dadaz wa JF ina maana woote mmeolewa au hakuna hata mmoja mwenye mpango wa kuolewa hata baada ya miaka 2, mbona mmeniweka njia panda hivyo jamani, mwenzio bado sijafanikiwa so nazidi kuwaomba mjitokeze ili hatimaye nimpate wa kufunga naye pingu za maisha! Kama unaona sifa hizo ngumu basi tuwasiliane then tuone wewe una sifa zipi au nini kikwazo ulichonacho? KARIBUNI SANA AKINA DADA PLSE!
 
Duh hivi na wanaume nao vigumu kupata wachumba? nilidhani sie tu. all the best Omba pia Mungu akusaidie kwa hili

Vipi wewe hutaki kukaribia ili tuwe pamoja au bado upo upo kwanza????
 
Back
Top Bottom