Natafuta mchumba Mkristo (mke wa kumuoa)

Natafuta mchumba Mkristo (mke wa kumuoa)

Datot

Member
Joined
Nov 23, 2022
Posts
16
Reaction score
12
Sifa zake:
1. Awe na hofu ya Mungu.
2. Awe tayari kupima HIV.
3. Asiwe mfupi, Rangi yeyote ile, maana mimi mwenyewe ni mrefu
4. Awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne, sita, hata chuo kikuu.
5. Ajue kupika, aisiyependa uchafu na awe anajua kupika kila aina ya chakula kuanzia maandazi n.k.
6. Umri kuanzia miaka 25 hadi 30, maana mimi nina miaka 34.

Amabaye yuko na uhitaji anitafute PM, niko na uhitaji, namaanisha.
1. Mimi ninaishi mikoa ya nyanda za juu Kusini,(Iringa Mbeya, Songea) ndiyo ninapofanyia kazi (nina bachelor degree.).
2. Nina mtoto mmoja (1).
 
My zangu,
Darlin Depal Lenie Amehlo Joanah
Ni kweli hamjui kupika maandazi au hamjaona fursa???
My wetu kupika maandazi ni jambo jepesi sana

Nisaidie kumuuliza mleta mada kama mama wa mtoto wake mmoja yupo hai ama ameshatangulia(kama wao wanavyoulizaga singo maza)

Nikipata jibu nitajua kama niende piemu ama nisubiri bandiko lingine
 
My wetu kupika maandazi ni jambo jepesi sana

Nisaidie kumuuliza mleta mada kama mama wa mtoto wake mmoja yupo hai ama ameshatangulia(kama wao wanavyoulizaga singo maza)

Nikipata jibu nitajua kama niende piemu ama nisubiri bandiko llingi
My wetu kupika maandazi ni jambo jepesi sana

Nisaidie kumuuliza mleta mada kama mama wa mtoto wake mmoja yupo hai ama ameshatangulia(kama wao wanavyoulizaga singo maza)

Nikipata jibu nitajua kama niende piemu ama nisubiri bandiko lingine
Njoo PM.
 
Sifa zake:
1. Asiwe mchawi.
2. Awe tayari kupima HIV.
3. Asiwe mfupi, asiwe mwembamba, awe mrefu wastani, na asiwe mnene sana. Rangi yeyote ile kasoro asiwe mweusi tii, maana mimi mwenyewe ni mrefu halafu ni mweusi.
4. Awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne, sita, hata chuo kikuu.
5. Asiwe tegemezi, awe na kazi yake maana hata mimi siyo tegemezi. Kama huna kazi basi uwe mchapakazi. (Utapewa mtaji).
6. Ajue kupika, aisiyependa uchafu na awe anajua kupika kila aina ya chakula kuanzia maandazi n.k.
7. Umri kuanzia miaka 25 hadi 30, maana mimi nina miaka 34.


Amabaye yuko na uhitaji anitafute PM, niko na uhitaji, namaanisha.
1. Mimi ninaishi mikoa ya nyanda za juu Kusini,(Iringa Mbeya, Songea) ndiyo ninapofanyia kazi (nina bachelor degree.).
2. Nina mtoto mmoja (1).

NB: aliyesomea ualimu atapewa kipaumbele. (Awe ameajiriwa au amejiajiri).
Huyu hapa mkuu

Thread 'Natafuta mchumba (Mume) wakuanza naye familia pamoja' Natafuta mchumba (Mume) wakuanza naye familia pamoja
 
Sifa zake:
1. Asiwe mchawi.
2. Awe tayari kupima HIV.
3. Asiwe mfupi, asiwe mwembamba, awe mrefu wastani, na asiwe mnene sana. Rangi yeyote ile kasoro asiwe mweusi tii, maana mimi mwenyewe ni mrefu halafu ni mweusi.
4. Awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne, sita, hata chuo kikuu.
5. Asiwe tegemezi, awe na kazi yake maana hata mimi siyo tegemezi. Kama huna kazi basi uwe mchapakazi. (Utapewa mtaji).
6. Ajue kupika, aisiyependa uchafu na awe anajua kupika kila aina ya chakula kuanzia maandazi n.k.
7. Umri kuanzia miaka 25 hadi 30, maana mimi nina miaka 34.


Amabaye yuko na uhitaji anitafute PM, niko na uhitaji, namaanisha.
1. Mimi ninaishi mikoa ya nyanda za juu Kusini,(Iringa Mbeya, Songea) ndiyo ninapofanyia kazi (nina bachelor degree.).
2. Nina mtoto mmoja (1).

NB: aliyesomea ualimu atapewa kipaumbele. (Awe ameajiriwa au amejiajiri).
Holaa, umiss umeshanikosesha hii nafasi
 
Sifa zake:
1. Asiwe mchawi.
2. Awe tayari kupima HIV.
3. Asiwe mfupi, asiwe mwembamba, awe mrefu wastani, na asiwe mnene sana. Rangi yeyote ile kasoro asiwe mweusi tii, maana mimi mwenyewe ni mrefu halafu ni mweusi.
4. Awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne, sita, hata chuo kikuu.
5. Asiwe tegemezi, awe na kazi yake maana hata mimi siyo tegemezi. Kama huna kazi basi uwe mchapakazi. (Utapewa mtaji).
6. Ajue kupika, aisiyependa uchafu na awe anajua kupika kila aina ya chakula kuanzia maandazi n.k.
7. Umri kuanzia miaka 25 hadi 30, maana mimi nina miaka 34.


Amabaye yuko na uhitaji anitafute PM, niko na uhitaji, namaanisha.
1. Mimi ninaishi mikoa ya nyanda za juu Kusini,(Iringa Mbeya, Songea) ndiyo ninapofanyia kazi (nina bachelor degree.).
2. Nina mtoto mmoja (1).

NB: aliyesomea ualimu atapewa kipaumbele. (Awe ameajiriwa au amejiajiri).
To yeye ninakusalimia to binti yangu na uje huku
 
My wetu kupika maandazi ni jambo jepesi sana

Nisaidie kumuuliza mleta mada kama mama wa mtoto wake mmoja yupo hai ama ameshatangulia(kama wao wanavyoulizaga singo maza)

Nikipata jibu nitajua kama niende piemu ama nisubiri bandiko lingine
Wewe ni comedian Zelensky afaa kuja kujifunza kwako😄
 
Back
Top Bottom