Sifa zake:
1. Awe na hofu ya Mungu.
2. Awe tayari kupima HIV.
3. Asiwe mfupi, Rangi yeyote ile, maana mimi mwenyewe ni mrefu
4. Awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne, sita, hata chuo kikuu.
5. Ajue kupika, aisiyependa uchafu na awe anajua kupika kila aina ya chakula kuanzia maandazi n.k.
6. Umri kuanzia miaka 25 hadi 30, maana mimi nina miaka 34.
Amabaye yuko na uhitaji anitafute PM, niko na uhitaji, namaanisha.
1. Mimi ninaishi mikoa ya nyanda za juu Kusini,(Iringa Mbeya, Songea) ndiyo ninapofanyia kazi (nina bachelor degree.).
2. Nina mtoto mmoja (1).
1. Awe na hofu ya Mungu.
2. Awe tayari kupima HIV.
3. Asiwe mfupi, Rangi yeyote ile, maana mimi mwenyewe ni mrefu
4. Awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne, sita, hata chuo kikuu.
5. Ajue kupika, aisiyependa uchafu na awe anajua kupika kila aina ya chakula kuanzia maandazi n.k.
6. Umri kuanzia miaka 25 hadi 30, maana mimi nina miaka 34.
Amabaye yuko na uhitaji anitafute PM, niko na uhitaji, namaanisha.
1. Mimi ninaishi mikoa ya nyanda za juu Kusini,(Iringa Mbeya, Songea) ndiyo ninapofanyia kazi (nina bachelor degree.).
2. Nina mtoto mmoja (1).