Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 1,412
- 1,669
Mpaka aje kuyajua hayo yote si atakuwa ashamuoa kabisa?Roho mbaya tu,ukwann na ubinafsi wa kuzidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka aje kuyajua hayo yote si atakuwa ashamuoa kabisa?Roho mbaya tu,ukwann na ubinafsi wa kuzidi
Kabisa yaanMpaka aje kuyajua hayo yote si atakuwa ashamuoa kabisa?
Sifa zake:
1. Asiwe mchawi.
2. Awe tayari kupima HIV.
3. Asiwe mfupi, asiwe mwembamba, awe mrefu wastani, na asiwe mnene sana. Rangi yeyote ile kasoro asiwe mweusi tii, maana mimi mwenyewe ni mrefu halafu ni mweusi.
4. Awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne, sita, hata chuo kikuu.
5. Asiwe tegemezi, awe na kazi yake maana hata mimi siyo tegemezi. Kama huna kazi basi uwe mchapakazi. (Utapewa mtaji).
6. Ajue kupika, aisiyependa uchafu na awe anajua kupika kila aina ya chakula kuanzia maandazi n.k.
7. Umri kuanzia miaka 25 hadi 30, maana mimi nina miaka 34.
Amabaye yuko na uhitaji anitafute PM, niko na uhitaji, namaanisha.
1. Mimi ninaishi mikoa ya nyanda za juu Kusini,(Iringa Mbeya, Songea) ndiyo ninapofanyia kazi (nina bachelor degree.).
2. Nina mtoto mmoja (1).
NB: aliyesomea ualimu atapewa kipaumbele. (Awe ameajiriwa au amejiajiri).
Mke haji kwa vigezo vingi hivyo kijana.Siku utakayompata hata hutoijua.Utashangaa mpo wote tu.Kwani unataka mkalime ng'ing'i aka numbu?Sifa zake:
1. Asiwe mchawi.
2. Awe tayari kupima HIV.
3. Asiwe mfupi, asiwe mwembamba, awe mrefu wastani, na asiwe mnene sana. Rangi yeyote ile kasoro asiwe mweusi tii, maana mimi mwenyewe ni mrefu halafu ni mweusi.
4. Awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne, sita, hata chuo kikuu.
5. Asiwe tegemezi, awe na kazi yake maana hata mimi siyo tegemezi. Kama huna kazi basi uwe mchapakazi. (Utapewa mtaji).
6. Ajue kupika, aisiyependa uchafu na awe anajua kupika kila aina ya chakula kuanzia maandazi n.k.
7. Umri kuanzia miaka 25 hadi 30, maana mimi nina miaka 34.
Amabaye yuko na uhitaji anitafute PM, niko na uhitaji, namaanisha.
1. Mimi ninaishi mikoa ya nyanda za juu Kusini,(Iringa Mbeya, Songea) ndiyo ninapofanyia kazi (nina bachelor degree.).
2. Nina mtoto mmoja (1).
NB: aliyesomea ualimu atapewa kipaumbele. (Awe ameajiriwa au amejiajiri).
Weye nenda pm tu.Akiwa mzima ndiyo vizuri ili upate wa kumchamba ili uchangamshe ndoa.😂😂😂😂My wetu kupika maandazi ni jambo jepesi sana
Nisaidie kumuuliza mleta mada kama mama wa mtoto wake mmoja yupo hai ama ameshatangulia(kama wao wanavyoulizaga singo maza)
Nikipata jibu nitajua kama niende piemu ama nisubiri bandiko lingine
😆😆😆zilishanishida hizo makitu😆😆Mke haji kwa vigezo vingi hivyo kijana.Siku utakayompata hata hutoijua.Utashangaa mpo wote tu.Kwani unataka mkalime ng'ing'i aka numbu?
Jitahidi uwe unakula hivyohivyo.Zinaondoa hadi dhambi.😂😂😂😆😆😆zilishanishida hizo makitu😆😆
Nimeondoa hiko kigezo...ni ngumu sana kuthibitisha...bora HIV , tutapima woteHonestly, hapo kwenye uchawi utathibitishaje?
hahaaNimeondoa hiko kigezo...ni ngumu sana kuthibitisha...bora HIV , tutapima wote
My wetu kupika maandazi ni jambo jepesi sana
Nisaidie kumuuliza mleta mada kama mama wa mtoto wake mmoja yupo hai ama ameshatangulia(kama wao wanavyoulizaga singo maza)
Nikipata jibu nitajua kama niende piemu ama nisubiri bandiko lingine
Njoo PMMnatubagua waislam
Kaburi la mama mtoto lipo?