Natafuta mchumba Mkristo (mke wa kumuoa)

Utakaowakataa walengeshe kwangu
 
Mke haji kwa vigezo vingi hivyo kijana.Siku utakayompata hata hutoijua.Utashangaa mpo wote tu.Kwani unataka mkalime ng'ing'i aka numbu?
 
My wetu kupika maandazi ni jambo jepesi sana

Nisaidie kumuuliza mleta mada kama mama wa mtoto wake mmoja yupo hai ama ameshatangulia(kama wao wanavyoulizaga singo maza)

Nikipata jibu nitajua kama niende piemu ama nisubiri bandiko lingine
Weye nenda pm tu.Akiwa mzima ndiyo vizuri ili upate wa kumchamba ili uchangamshe ndoa.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mnatubagua waislam
Kaburi la mama mtoto lipo?
 
My wetu kupika maandazi ni jambo jepesi sana

Nisaidie kumuuliza mleta mada kama mama wa mtoto wake mmoja yupo hai ama ameshatangulia(kama wao wanavyoulizaga singo maza)

Nikipata jibu nitajua kama niende piemu ama nisubiri bandiko lingine

Atuonyeshe kaburi kabisa la sivyo ubadhilifu mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ