Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Popote ulipo nenda ktk hospital uliza ward za waathirika/wenye ukimwi watakuonyesha jichagulie mwenyewe! Au nenda tume ya kudhibiti ukimwi watakusaidia kumpata mwandani wako!
Popote ulipo nenda ktk hospital uliza ward za waathirika/wenye ukimwi watakuonyesha jichagulie mwenyewe! Au nenda tume ya kudhibiti ukimwi watakusaidia kumpata mwandani wako!
Popote ulipo nenda ktk hospital uliza ward za waathirika/wenye ukimwi watakuonyesha jichagulie mwenyewe! Au nenda tume ya kudhibiti ukimwi watakusaidia kumpata mwandani wako!
Nimegundulika nina virusi vya Ukimwi baada ya kwenda kupima kwa hiyari, sina tatizo lingine la kiafya pia nina cd4 za kutosha hivyo sijaanza kutumia dozi.
duh hii mpya...kwahiyo asiyeathirika ukimwi humtaki??yaani we ndo unaanza kunyanyapaa mapemaaaa hata mwezi haujafika,umeanza kuwatenga wenzako...nyie mkitengwa mnalalamika...;lol
Popote ulipo nenda ktk hospital uliza ward za waathirika/wenye ukimwi watakuonyesha jichagulie mwenyewe! Au nenda tume ya kudhibiti ukimwi watakusaidia kumpata mwandani wako!
Kama yupo na atakubaliana na hali yangu anakaribishwa, lakini sijui kama yupo mtu wa aina hiyo. Nilikuwa na mchumba ambaye hana maambukizi sijataka kumfahamisha hali halisi nimeamua kutafuta sababu nyingine ili niachane nae na tumeshaachana. Sijawahi kukutana naye kimwili ingawa alikuwa tayari.
Popote ulipo nenda ktk hospital uliza ward za waathirika/wenye ukimwi watakuonyesha jichagulie mwenyewe! Au nenda tume ya kudhibiti ukimwi watakusaidia kumpata mwandani wako!
Kama yupo na atakubaliana na hali yangu anakaribishwa, lakini sijui kama yupo mtu wa aina hiyo. Nilikuwa na mchumba ambaye hana maambukizi sijataka kumfahamisha hali halisi nimeamua kutafuta sababu nyingine ili niachane nae na tumeshaachana. Sijawahi kukutana naye kimwili ingawa alikuwa tayari.