Mungu atuepushe wandugu. Leo nimeenda pale Bugando hosptl kwa macho yangu nimewaona waathhrika wenzetu wa magonjwa mbalmbal ikwemo HIV, kisukal,etc. Ila kuna wengine wanatumia hzo arv wana afya njema, wamenenepa vilivyo wengine wapo hoi, others wamepandwa na kichaa. Wakati napeleka specimen zangu stul na urine pale labaratory nkakuta dada mmoja bonge jeupee wa pale crdb nyanza branch anapima cd4, nikajiulza je kama huna vvu unaweza pima cd4?
Tujiulize nafc zetu sisi ni wazma, tena bila kunyosheana vidole.!
BACK TO U KAKA: nakushauri achana kabisa na swala la mchumba kwa sasa utadhoofka sana, jiangalie afya yako tu.
penda mambo kama, kula mlo kamili, mazoezi sana, kusali sana, kucheza na kuangalia mpira, kuangalia sinema, kusoma vtabu, fuata ushauri wa daktari na uishi kwa matumaini.
acha kufikiria sana una ukimwi kwani mawazo ndiyo yanaua waathrka wengi.