Natafuta mchumba muathirika

Natafuta mchumba muathirika

Pole sana ndugu yangu,attitude yako nimeipenda sana,unaonekana uko very positive,hivo ndo inatakiwa.Jitahidi na multivimins uwe unameza,epuka kukaa sana juani na kama ni mtu wa imani basi mwombe Mola kwa nguvu sana.
 
Popote ulipo nenda ktk hospital uliza ward za waathirika/wenye ukimwi watakuonyesha jichagulie mwenyewe! Au nenda tume ya kudhibiti ukimwi watakusaidia kumpata mwandani wako!

Stopido!!!
 
Huwezi kuamini leo ndio nimepata ujasiri wa kusoma hii thread baada ya kuikwepa kwa siku kadhaa. Kwa maelezo yako unaonekana ww ni mstaarabu. Ushauri wangu kama bado hujapata haja ya moyo wako, uende kwenye vituo au vyama vya watu walioathirika. Huko utakutana na wadada wengi wazuri hivyo itakupa nafasi pana zaidi ya kuchagua mchumba. Mwisho.....hongera kwa kukubali kwenda kupima kwa hiari.
 
wewe kweli ni muungwana kama kweli hukutembea nae kwa maana ya kwamba kumuambukiza kwa makusudii safi,ila si ukapate kikombe kwa babu au ukiamini?
Kama yupo na atakubaliana na hali yangu anakaribishwa, lakini sijui kama yupo mtu wa aina hiyo. Nilikuwa na mchumba ambaye hana maambukizi sijataka kumfahamisha hali halisi nimeamua kutafuta sababu nyingine ili niachane nae na tumeshaachana. Sijawahi kukutana naye kimwili ingawa alikuwa tayari.
 
Muathirika wa nini sasa? Manake uathrika uko wa namna nyingi sana uathirika wa Ndoa, uathirika wa kupenda sports au uathirika wa pombe n.k we uko kundi gani hapo? kuwa muwazi usaidiwe ndugu....mbona unauliza maswali nusu nusu?
 
Muathirika wa nini sasa? Manake uathrika uko wa namna nyingi sana uathirika wa Ndoa, uathirika wa kupenda sports au uathirika wa pombe n.k we uko kundi gani hapo? kuwa muwazi usaidiwe ndugu....mbona unauliza maswali nusu nusu?
Join Date : 16th June 2011 = Umejoin leo leo kwa jina tofauti ili uchafue hali ya hewa na kuleta zileeee, saddist attitudes. Komea huko hukoooo!
Posts : 15
Thanks0Thanked 0 Times in 0 Posts

Rep Power : 0
 
Hongera kwa kujitangaza ila mii ushauri wangu ni kwamba,kama huyo mchumba ukimpata basi tulia nae kwa sana na acha kabisa yale mambo yetu ya mabinti, kula matunda kwa wingi, fanya mazoezi, do this az b4, usifikirie sana hii kitu ukimwi,coz itakumaliza,cd4 zako hazitapungua na utaishi kwa matumaini sana!!

Sizinga,

Mkuu hata safari safari nazo punguza, na hasa zile za kuruka angani muda mrefu!
 
Mungu akutie nguvu mpendwa, nashauri ujiunge na makundi mbalimbali ya Waathiirika wa Ukimwi... Yapo unaweza kupata link na makundi haya kupitia TACAIDS na Angaza kama mdau mmoja alivyoshauri awali. Hii itakusaidia kujifunza mengi toka kwa waathirika wengine, lakini pia kupitia makundi haya unaweza kumpata mwenza anaekuvutia si tu ALIYEATHIRIKA, bali anaendana na wewe KITABIA, mwenye maadili mema n.k. Kigezo cha awe mwathirika tu, unaweza kumpata lakini akawa ni mzigo kwako... na akakusababishia matatizo mengine. Tulia mwombe Mungu na utakutana na mwenza mwenye kuendana nawe. Nakutakia kila la Kheri.
 
Muathirika wa nini sasa? Manake uathrika uko wa namna nyingi sana uathirika wa Ndoa, uathirika wa kupenda sports au uathirika wa pombe n.k we uko kundi gani hapo? kuwa muwazi usaidiwe ndugu....mbona unauliza maswali nusu nusu?

Mbona sread inaeleweka wewe mzee wa mjini?
amekwambia amepima Feb..kwani ukiathirika na ndoa unapima na nini?
 
BRAVO aisee.wewe kweli mwanaume,usijali utampata mtu wa kudumu naye.nahisi you are real good man na hujataka kuficha wengine wakijigundua tu ndo anataka kusambaza,all the best Vijisenti
Kama yupo na atakubaliana na hali yangu anakaribishwa, lakini sijui kama yupo mtu wa aina hiyo. Nilikuwa na mchumba ambaye hana maambukizi sijataka kumfahamisha hali halisi nimeamua kutafuta sababu nyingine ili niachane nae na tumeshaachana. Sijawahi kukutana naye kimwili ingawa alikuwa tayari.
 
Kabla huja koment naomba ufkirie mara mbili unachotaka kuandika jaman sisi sote binadau braza hapa ametumia ubinadau amehamua kutafuta mwathirika ili asiendelee kusambaza kwa wengne afu wewe unamwambie aende wodin uvi we una akili zote kwel au nishetan wa mauth kabisa huna hata haya una laana wewe na ninakuhakikishia utaupata tu kama unavyo mzomea mwenzako jitu zma ovyo huna hata haya
 
hongera sana kwa kuwa na ujasiri wa kujitangaza.

Muathirika mwenye kujitangaza anaitaji kupongezwa mana umeonesha mfano mzuri wa kuigwa tofauti na wanaoua wenzao kimyakimya ilihali wanajijua ni waathirika.

Napenda kukutakia safari njema ya kumtafuta mtu ambaye unaamini atakaua msaada kwako,jua ya kuwa wewe kua muathirika haikunyimi nafasi kwa wewe kumtafuta mke ambaye hajaathirika.

Unaweza kumpata mwenza ambae yupo -ve na mkazaa watoto vizuri bila kuwaambukiza virusi.
 
Okoka na uanze kumtafuta Mungu-Yesu anaweza kukuponya kabisa.nimeona na kushuhudia walioponywa kabisa.
 
uko siriaz au unajaribu?labda ujaribu kutupa sababu ya wewe kumsaka mchumba wa dizaini hiyo.
 
Back
Top Bottom