Natafuta mchumba/ mume wa ndoa

Natafuta mchumba/ mume wa ndoa

foibe

Member
Joined
May 24, 2011
Posts
7
Reaction score
11
Wapendwa wana JF,

Hii ni post yangu ya kwanza, lakini sio mgeni sana humu Jf kwa sababu nilikuwa naingia kama mgeni.

Najitokeza jamvini kutafuta mkaka au mwanaume ambaye ana lengo la kufunga ndoa nami. Kifupi wasifu wangu ni kama ufuatao:

1. Nina miaka 25, mnene kiasi, urefu wa 165 cm.
2. Elimu yangu ni kidato cha nne.
3. Sijawahi kuolewa au kuwa na mtoto,
4. Rangi yangu ni maji ya kunde.
5.Dini yangu ni mkristo wa roman catholic.

Mume ninayemtaka:
1. Awe mwenye upendo wa kweli,
2. Awe tayari kupima afya zetu kabla hatujakutana mapenzi
3.Awe na kipatocha kuwezesha tuishi maisha bora na sio bora maisha.
4. Sichagui dini, kabila
5. Elimu yake ianzie kidato cha nne na kuendelea.

Kwa mkaka anayejiona yupo serious naomba anitumie msg / pm lakini kama haupo seious naomba usipoteze muda wako coz sitaki kuchezewa kama mpira.

Asanteni, na karibuni sana.
 
Una chumba cha kulala msije oana mkaenda kwa wazazi wenu hiyo atupendi...
 
Wapendwa wana JF,

Hii ni post yangu ya kwanza, lakini sio mgeni sana humu Jf kwa sababu nilikuwa naingia kama mgeni.

Najitokeza jamvini kutafuta mkaka au mwanaume ambaye ana lengo la kufunga ndoa nami. Kifupi wasifu wangu ni kama ufuatao:

1. Nina miaka 25, mnene kiasi, urefu wa 165 cm.
2. Elimu yangu ni kidato cha nne.
3. Sijawahi kuolewa au kuwa na mtoto,
4. Rangi yangu ni maji ya kunde.
5.Dini yangu ni mkristo wa roman catholic.

Mume ninayemtaka:
1. Awe mwenye upendo wa kweli,
2. Awe tayari kupima afya zetu kabla hatujakutana mapenzi
3.Awe na kipatocha kuwezesha tuishi maisha bora na sio bora maisha.
4. Sichagui dini, kabila
5. Elimu yake ianzie kidato cha nne na kuendelea.

Kwa mkaka anayejiona yupo serious naomba anitumie msg / pm lakini kama haupo seious naomba usipoteze muda wako coz sitaki kuchezewa kama mpira.

Asanteni, na karibuni sana.
Uwiiii! Nimeshapata mke, mie dada sifa zangu ni hizi hapa
1. Nina upendo wa kweli,
2. Niko tayari kupima afya zetu kabla hatujakutana mapenzi
3.Nina kipato cha kuwezesha tuishi maisha bora na sio bora maisha.
4. Sichagui dini, kabila
5. Elimu yangu ni kidato cha nne na kuendelea.

nataka tuwe wazi kama tulivyokutana hapa JF kwa uwazi! Unanikubali?
 
Wapendwa wana JF,

Hii ni post yangu ya kwanza, lakini sio mgeni sana humu Jf kwa sababu nilikuwa naingia kama mgeni.

Najitokeza jamvini kutafuta mkaka au mwanaume ambaye ana lengo la kufunga ndoa nami. Kifupi wasifu wangu ni kama ufuatao:

1. Nina miaka 25, mnene kiasi, urefu wa 165 cm.
2. Elimu yangu ni kidato cha nne.
3. Sijawahi kuolewa au kuwa na mtoto,
4. Rangi yangu ni maji ya kunde.
5.Dini yangu ni mkristo wa roman catholic.

Mume ninayemtaka:
1. Awe mwenye upendo wa kweli,
2. Awe tayari kupima afya zetu kabla hatujakutana mapenzi
3.Awe na kipatocha kuwezesha tuishi maisha bora na sio bora maisha.
4. Sichagui dini, kabila
5. Elimu yake ianzie kidato cha nne na kuendelea.

Kwa mkaka anayejiona yupo serious naomba anitumie msg / pm lakini kama haupo seious naomba usipoteze muda wako coz sitaki kuchezewa kama mpira.

Asanteni, na karibuni sana.



nathani kwa atakayetaka kukuchezea au kukutumia kama mpira, ni wewe ndio utakayepotezewa muda na si yeye, kwasabu yeye anakuwa bado yupoyupo
 
Wapendwa wana JF,

Hii ni post yangu ya kwanza, lakini sio mgeni sana humu Jf kwa sababu nilikuwa naingia kama mgeni.

Najitokeza jamvini kutafuta mkaka au mwanaume ambaye ana lengo la kufunga ndoa nami. Kifupi wasifu wangu ni kama ufuatao:

1. Nina miaka 25, mnene kiasi, urefu wa 165 cm.
2. Elimu yangu ni kidato cha nne.
3. Sijawahi kuolewa au kuwa na mtoto,
4. Rangi yangu ni maji ya kunde.
5.Dini yangu ni mkristo wa roman catholic.

Mume ninayemtaka:
1. Awe mwenye upendo wa kweli,
2. Awe tayari kupima afya zetu kabla hatujakutana mapenzi
3.Awe na kipatocha kuwezesha tuishi maisha bora na sio bora maisha.
4. Sichagui dini, kabila
5. Elimu yake ianzie kidato cha nne na kuendelea.

Kwa mkaka anayejiona yupo serious naomba anitumie msg / pm lakini kama haupo seious naomba usipoteze muda wako coz sitaki kuchezewa kama mpira.

Asanteni, na karibuni sana.
Anataka maisha bora,jitokezeni jamani!!
 
Hii ndio raha ya utanda wazi anaetafutwa na anaetafuta
kila la kheri dada
 
:eyebrows: am here with full qualification
 
mhhh! ulikuwa haujampata,co kesi kama unataka kumpata tokelezea number yako ya simu then pipo kama zitajitokeza hvi?
 
wewe unakipato gani hadi unataka na mwenzio awe na kipato cha juu??????????

unafanya kazi?????unabiashara au kitega uchumi chochote??????

mama siku hizi mambo ni cost sharing u've to know that.
 
mimi naweza kuwafunika waliotangulia..ila umri wangu ni tatizo kidogo..kama hujapata ni pm tudiscuss,elimu yangu inatosha.karibu dada.
 
Back
Top Bottom