Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahaaah, jamani hamna mwenye vigezo? Hebu toa wasifu wako bibie naona GodfreyTajiri hapo juu anaelekea...
naoana bibie hajui maana, ameingia mitini.
Kila la heri dada, ningetuma application lakini naona umri unakaba na mchakato wa kuchakachua birth certificate ili kuongeza umri umekwama. Hauwezi ukashusha shusha umri kidogo?
ha ha ha ha ha,man of substance.......subira yavuta heri,siku si nyingi utampata ambaye hutakiwi kuchakachua chochote.....lol
nimewahi kusikia majina yanayoanzia na herufi J na M yakiungana huwa yanaleta muunganiko mzuri sana eti ni kweli?
We ndio m-PM,Please ni PM tafadhali.
inshallah kila la kheyr habibty umpate akupende na asikutende.... ishallah all dah best 4u..na karibu sana sana jf tujumuike pamoja ok??.
najitokeza mbele yenu kutafuta rafiki atakayekuwa mchumba na hatimaye mume wangu. Awe mcha mungu na mwenye upendo wa kweli. Pia anayejituma katika kutafuta maisha. Umri kuanzaia miaka 35 - 45, dini yake mkristo. Aliye serious na hilo tuwasiliane.
Najitokeza mbele yenu kutafuta rafiki atakayekuwa mchumba na hatimaye mume wangu. Awe mcha Mungu na mwenye upendo wa kweli. Pia anayejituma katika kutafuta maisha. Umri kuanzaia miaka 35 - 45, dini yake mkristo. Aliye serious na hilo tuwasiliane.