Natafuta mchumba/mume


Nia ni Njema ! Jambo ni la Heri. Nakutakia Mafanikio. Na wenye Sifa nawashauri wajitokeze. Pia Amina zingatia maombi ya hao wenye upungufu wa sifa inawezekana ukafanikiwa kama utapunguza baadhi ya sifa.
 

Kipengere cha umri nikiwa nimezidisha kama 10 na kile cha rangi mimi ni mweupe kama mpoki wa ze komedi nitafikiriwa?
 
mie huwaga sielewi kabisa hapa jf watu wanatafuta wachumba wanatuambia ila wakishapata hawarudi kutoa shukrani kwa hiyo huwa sifahamu kama wamefanikiwa au hawajafanikiwa ili na mie nitupe ndoano hapa jamvini maana sie wengine ni madomo zege

Kuna memba mmoja alileta majibu ya sredi yake ya uchumba, yaliyomkuta anayajua mwenyewe.
So I advise you ulete majibu mazuri tu, ukileta majibu mabaya kuna watu wataanza kukuchambulia katiba ya JF (utafikiri hayo mazuri pia yamo kwenye katiba):tongue:
 
I loooove that song!

Nilijua utaupenda tu, hata mpendwa na Kloro wanaupenda pia kama sikosei

Sidhani!Wenyewe wanapenda miziki ya kizee...bongo flavor hawaiwezi!

wewe unapenda tu, kucheza unajua??

Mi napita tu...naona Lizzy anarudi kwenye mstari.. CPU ulikuwa wapi?

Kwanini nisiweze?BTW embu tuache kuchakachua thread ya Amina maana tunawanyima wachumba nafasi!

kazi kwenu
 
da Amina. karibu kwenye familia yetu (jf). Jiskie uko nyumbani. Hope utampata wako mahabuba ila ukishafanikiwa usisite kutupa mrejesho nyuma (feedback).
 
Mashart yako ni magumu vgezo ulivyotoa hutampata kwenye uwanja huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…