Mzee wa chura[emoji23] [emoji23] [emoji23]Chura ipo?
Haya na ajifungie chumbani atakuja kugongewa mlango. Maana wa kwako alikuja kukugongea mlango.....[emoji3] [emoji3] [emoji3]Funga na kuomba Mungu atakupa aliye sahihi, lakini humu unaweza ukapata ila wengi huwa wanatudhihaki wadada tukitafuta mume kwa mitandao. Mwambie Mungu haja ya moyo wako naye atakujibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo unawasingizia wahenga bureeeYaani kuna watu wachokozi,we kama huna vigezo tulia usifosi miaka yake ina nini,kila mmoja anaingia kwenye ndoa anapojiona yuko tayari na ni wakati sahihi,wahenga walisema kuingia ndoani ukiwa na21-23/nisawa nakuondoka disko SAA tatu usiku
Sent using Jamii Forums mobile app
ok unapatikana wap nitafute kupitia email frank.ngimbwa@yahoo.comnatafuta mchumba atakaye kuwa mume awe afanya kazi au biashara awe na miaka 33 adi 38. awe mrefu nc 6
mimi nina miaka 31
awe mkristo
Nimechekaaa thanaaaaaDuuuuuuuh ofa hii ni kwa wenye vibamia tu? usikute na wewe una bwala la mtera@
Huo urefu ni wa kitandani au mtaani?natafuta mchumba atakaye kuwa mume awe afanya kazi au biashara awe na miaka 33 adi 38. awe mrefu nc 6
mimi nina miaka 31
awe mkristo
Hiyo nc (inch) 6 ni urefu wa nini? Mwili au maumbile?natafuta mchumba atakaye kuwa mume awe afanya kazi au biashara awe na miaka 33 adi 38. awe mrefu nc 6
mimi nina miaka 31
awe mkristo
Hahahahahahahaha uwiiii safi sananjoo kwangu vigezo hakuna uwe tu na kibamia kinachofanya kazi na akili kichwani hata ya kubeba zege
Ina maana mtu asiye na kazi harusiwi kuoa?ukifikiri unaitaji mke lazima uwe kichwa cha familia umtunza mkeo kama una kazi nani ata mtunza? lakini pia kama unataka haki sawa pia sawa tu mi ntakutunza ila usije lalamika
Miss Natafuta uko serious unataka nigombee jimboni kwako au mikwara yako bado hujaacha tu?njoo kwangu vigezo hakuna uwe tu na kibamia kinachofanya kazi na akili kichwani hata ya kubeba zege