Dah! siku hiyo nadhani baba anachinja kondoo, yule mnono mnono... lolNilikuwa namsadia tuu. Mie nasubiria tangazo lako tuu. nakwambia wala situmi PM. Nakuja huko huko Ushongo Mabaoni. LOL.
Kwani mpolee alidrop interest?
Achana na huyo, we njoo Tanga bwana! lolMpolee ndiyo nani huyo?
Dah! siku hiyo nadhani baba anachinja kondoo, yule mnono mnono... lol
Achana na huyo, we njoo Tanga bwana! lol
Mimi ni msichana mwenye umr wa miaka 23 nimehtimu chuo mwaka huu,nimeona nheshma kwangu iwapo ntakua nimetulia ktk ndoa yangu kuliko kuhangaika na maisha yasasa..Nahtaj mwanaume muislam,mpenda maendeleo,msikivu na mwenye upeo wa maisha,aliye tayar kurekebshwa pale akoseapo na aliyetayar nkosoa pale nkoseapo,,umri kuanzia miaka 24 yan asiwe mdogo kwangu...asiwe mlevi,...yeyote mwenye mapenz ya dhati ani PM...nipo serious sana.Asanten.Email yangu ni luvmy19@gmail.com plz use my email mana PM zangu nashndwa kujb naambiwa mpaka niwe nimepost mara tano.samahann kwa usumbuf
Mimi ni msichana mwenye umr wa miaka 23 nimehtimu chuo mwaka huu,nimeona nheshma kwangu iwapo ntakua nimetulia ktk ndoa yangu kuliko kuhangaika na maisha yasasa..Nahtaj mwanaume muislam,mpenda maendeleo,msikivu na mwenye upeo wa maisha,aliye tayar kurekebshwa pale akoseapo na aliyetayar nkosoa pale nkoseapo,,umri kuanzia miaka 24 yan asiwe mdogo kwangu...asiwe mlevi,...yeyote mwenye mapenz ya dhati ani PM...nipo serious sana.Asanten.Email yangu ni luvmy19@gmail.com plz use my email mana PM zangu nashndwa kujb naambiwa mpaka niwe nimepost mara tano.samahann kwa usumbuf
Kila la kheri mdogo wangu. Mungu na akusaidie upate Mume na si bora mume.
Mimi ni msichana mwenye umr wa miaka 23 nimehtimu chuo mwaka huu,nimeona nheshma kwangu iwapo ntakua nimetulia ktk ndoa yangu kuliko kuhangaika na maisha yasasa..Nahtaj mwanaume muislam,mpenda maendeleo,msikivu na mwenye upeo wa maisha,aliye tayar kurekebshwa pale akoseapo na aliyetayar nkosoa pale nkoseapo,,umri kuanzia miaka 24 yan asiwe mdogo kwangu...asiwe mlevi,...yeyote mwenye mapenz ya dhati ani PM...nipo serious sana.Asanten.Email yangu ni luvmy19@gmail.com plz use my email mana PM zangu nashndwa kujb naambiwa mpaka niwe nimepost mara tano.samahann kwa usumbuf
Mimi nipo tayari,ila nina swali 1,UNA BIKIRA ZOTE MBILI?If yes karibu kwangu.If No chapa mwendo!Mimi ni msichana mwenye umr wa miaka 23 nimehtimu chuo mwaka huu,nimeona nheshma kwangu iwapo ntakua nimetulia ktk ndoa yangu kuliko kuhangaika na maisha yasasa..Nahtaj mwanaume muislam,mpenda maendeleo,msikivu na mwenye upeo wa maisha,aliye tayar kurekebshwa pale akoseapo na aliyetayar nkosoa pale nkoseapo,,umri kuanzia miaka 24 yan asiwe mdogo kwangu...asiwe mlevi,...yeyote mwenye mapenz ya dhati ani PM...nipo serious sana.Asanten.Email yangu ni luvmy19@gmail.com plz use my email mana PM zangu nashndwa kujb naambiwa mpaka niwe nimepost mara tano.samahann kwa usumbuf
Mbona mnapenda kuvunja moyo wenzenu?je nini maana ya love connect?wewe unauhakika na utakaye muoa au olewa atatokea wapi? Mbona humu JF kuna wengi tu kwa sasa hadi wamefunga ndoa?Acheni hizoUshauri.
Mme hatafutwi kwenye mtandao, umedanganyika. Ni wazi kuwa, ukiwa chuo, umekutana na wanaume wengi sana, kama ungekuwa na nia, basi ungeambatana na mmoja.
Inaonekana una pozi, unajisikia na huna mapenzi ya kweli. Mwongo tu wewe, na mme hutopata hapa JF, ila utapata mafataki tu
Nahtaj mwanaume
1.muislam,
2. mpenda maendeleo,
3 msikivu na mwenye upeo wa maisha,
4. aliye tayar kurekebshwa pale akoseapo na aliyetayar nkosoa pale nkoseapo,
5. umri kuanzia miaka 24 yan asiwe mdogo kwangu..
6. asiwe mlevi,
ukiona mwanamke anaanza kubagua wanaume kwa rangi, kipato, elimu, umbo, umri, kabila na dini, huyo hafai kuwa mke. muogope kama ukoma. mia
Kwa stail yako hupati muoaji sanasana watajifanya waoaji then wanakumega na kusepa maana inaonekana unatabia za kujianika uonwe.CHEMA CHAJIUZA KIBAYA CHAJITEMBEZA.Hupati mtu.
Mimi nipo tayari,ila nina swali 1,UNA BIKIRA ZOTE MBILI?If yes karibu kwangu.If No chapa mwendo!
Mimi ninakusaidia Mchumba unae mtaka lazimaSharti la kwanza awe Muislam wa kweli awe Mtu mwenye kuifuata Dini yaani mwenye kuswali kutwa mara 5 na mwenye tabia nzuri tu Asiye lewa wala kuvuta sigara akiwa na vitu hivyoMimi ni msichana mwenye umr wa miaka 23 nimehtimu chuo mwaka huu,nimeona nheshma kwangu iwapo ntakua nimetulia ktk ndoa yangu kuliko kuhangaika na maisha yasasa..Nahtaj mwanaume muislam,mpenda maendeleo,msikivu na mwenye upeo wa maisha,aliye tayar kurekebshwa pale akoseapo na aliyetayar nkosoa pale nkoseapo,,umri kuanzia miaka 24 yan asiwe mdogo kwangu...asiwe mlevi,...yeyote mwenye mapenz ya dhati ani PM...nipo serious sana.Asanten.Email yangu ni luvmy19@gmail.com plz use my email mana PM zangu nashndwa kujb naambiwa mpaka niwe nimepost mara tano.samahann kwa usumbuf
wewe unamtafuta Mwanamke mwenye Bikra? Mbona zipo bikra za kutengeneza nyingi tu Bikira feki mimi ninaziita.Ngoja nijaribu ila kama huna bikra.... Utamkosa potential husb.