Shida yote hiyo ya nini mwanawane, kwani mbususu yako peke yako yakhe?Wewe sasa hivi, ukiona mke wako au mchumba wako unakaa nae, alafu anakusumbua sumbua haeleweki, nunua koleo kama 4 hv weka ndani na bisibisi kama 4 pia, alafu azione, usiongee chochote, uwe unazi test test hv anaziona, ww kaa kimya, zifiche ndani, akiuliza, wewe sema zina kazi yake usijali.
Atakuwa na heshima sana.
Sawa injinia.πWewe sasa hivi, ukiona mke wako au mchumba wako unakaa nae, alafu anakusumbua sumbua haeleweki, nunua koleo kama 4 hv weka ndani na bisibisi kama 4 pia, alafu azione, usiongee chochote, uwe unazi test test hv anaziona, ww kaa kimya, zifiche ndani, akiuliza, wewe sema zina kazi yake usijali.
Atakuwa na heshima sana.
Naitika hivyohivyo kimtindo.Tunapoelekea atadai tusali kabla ya "kura chakura cha usiku"!Mke kukuamkia sii ndio vizuri bwana wewe
Sasa hiyo itakuwa too much.Naitika hivyohivyo kimtindo.Tunapoelekea atadai tusali kabla ya "kura chakura cha usiku"!
Hawa ni wanaume 9 tofauti
Dah!Atakuwa mtumwa sasa!πSasa hiyo itakuwa too much.
Tena bro akikuamkia mwambie ashike na de libolo kabisa
Na anataka mwenye Degree πWee ni Msumbufu sana unaonekana
Uzungu uzungu mwingi
Ticha mpwayungu kavurugwa atakua ni mwalimu wa civics[emoji3]Nyinyi kahangaikeni na Mpwayungu Vileji wenu huko. Aliwahi kusema anatamani kuwa mwanamke! [emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
The last time I checked,kwenye kikao tulijadili na kukubaliana tusiwe tunaandika ukweli sana.Wanawake wa mjini bana π π π
Mlikuwa mkitakwa mkiwa bado mabinti wabichi mkawa mnawaletea hao jamaa mashauzi..., saiv jua linazama mnajipigia promo. Wenyewe mitandaoni π
Mkiwaga mnatongozwa mfanye uchunguzi kwanza! Na kama kijana anajitambua na ana vigezo wekeni mashauzi pembeni muolewe... ego zinawafanya mje kutapatapa humu baadae! Na mwanamke kuzaa akiwa 33-35+ kuna possibility kubwa ya kuzaa mtoto mwenye kasoro za kiakili na afya! (Wataalam huita Mongolia)
Kumbuka vijana wangapi uliwatosa miaka kadhaa kwa kigezo cha "SIPO TAYARI?!"
Wanawake muwe mnatafakari kabla hamjatanguliza mashauzi na Ego!
Anyways! Kila la kheri!
Civics tena?Hata dili la kuuza pamplets hana.Njaa kama gunia mbili.Ticha mpwayungu kavurugwa atakua ni mwalimu wa civics[emoji3]
Mkuu hii ni kweli kisayansi? Kwa nini inakuwa hivyo (kama ni kweli?)Na mwanamke kuzaa akiwa 33-35+ kuna possibility kubwa ya kuzaa mtoto mwenye kasoro za kiakili na afya! (Wataalam huita Mongolia)
Najibu kwa kutania.Hivi mtu aliyechoka kutembea hadi miguu kumvimba utamshawishi akimbie mbio za kasi za mita mia moja?Mkuu hii ni kweli kisayansi? Kwa nini inakuwa hivyo (kama ni kweli?)
Angalia tu asije akakutanguliza mwenyeweWewe sasa hivi, ukiona mke wako au mchumba wako unakaa nae, alafu anakusumbua sumbua haeleweki, nunua koleo kama 4 hv weka ndani na bisibisi kama 4 pia, alafu azione, usiongee chochote, uwe unazi test test hv anaziona, ww kaa kimya, zifiche ndani, akiuliza, wewe sema zina kazi yake usijali.
Atakuwa na heshima sana.
Bila shaka! Kama upo kitengo saa hii minimize hiyo outlook yako na kaushia kwa muda hiyo kazi unayofanya kisha check-out on Google madhara ya mwanamke aliyeenda age kuzaa.Mkuu hii ni kweli kisayansi? Kwa nini inakuwa hivyo (kama ni kweli?)
Yaani awe na umri wa 34 - 40 halafu;Mimi ni mwanamke, umri 32, naishi dar es salaam, kazi ni Engineer nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa na sina mtoto, muislam, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 34-40, awe muislam, awe Engineer au kazi yoyote yenye kipato kizuri, elimu iwe degree kwenda juu, asiwe ameoa, asiwe mlevi, awe anaishi dar es salaam, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM. Kashfa, matusi na kejeli [emoji114].
Mbarikiwe sana
Wanawake hawaelemikagi hata kama wana elimu. Nyodo na Mashauzi zinaongozwa na wanawake walioenda shule kwanza.The last time I checked,kwenye kikao tulijadili na kukubaliana tusiwe tunaandika ukweli sana.
Siyo watu tisa tofauti?Yaani awe na umri wa 34 - 40 halafu;
Awe hajaoa,
Awe hana mtoto
Awe havuti sigara
Awe hanywi pombe
Awe anaishi DSM
We kuweza? Hivi unajuwa hapo umewataja watu watatu?
πππYaani awe na umri wa 34 - 40 halafu;
Awe hajaoa,
Awe hana mtoto
Awe havuti sigara
Awe hanywi pombe
Awe anaishi DSM
We kuweza? Hivi unajuwa hapo umewataja watu watatu?