positivitykey
New Member
- Jul 7, 2023
- 2
- 11
Haya mabro kazi kwenu kutuletea wifi [emoji23][emoji23]
na hili baridi tunategemea mwezi wa 4 mwakani kuitwa maaunt
Mbona hujaweka sifa ya u-SINGLE mother? Ili Baba-Mlezi a k.a Uncle ajipange mapemaNahitaji mume/mchumba mwenye malengo awe Morogoro au Dodoma, awe mkristo, awe na kazi au biashara yenye uhakika wa kipato.
Mimi ni muajiriwa -private , am black beauty, loving and charming +hardworking. Nipo Morogoro am 163 tall , aliyetayari Ani PM
Ofisini ABOOD au petrol station (private)Mkuu hapo ofisini kwako wanaume hakuna?
Haya kila la Kheri
Cute babe vipi ww huhitaji soulmate [emoji3] mimi sio kama yule mzungu koko
Wenye magari tayari wana wake zao,awe na kazi au biashara yenye uhakika wa kipato.
Hapo umetangaza rushwa mkuu.Ili apate ndoa abadili dini!πUngekubali kuwa Muislam ningekupatia ji handsome la Kiarabu lina miaka 38, linataka kuja kufanya kilimo cha biashara Tanzania.
Mkifyatua hapo mnatowa mijitoto ya kishombe kishombe, mizuri kuliko ile ya wakimbizi wa wa Msumbiji huko Morogoro.
Kama staili ya kina Abood bus, si unamuona alivyo? mama yao Mluguru kabisa.
mambo kwa Dirham, unafanya mchezo na wimbi la Waarabu waliopo Dar sasa hivi?Hapo umetangaza rushwa mkuu.Ili apate ndoa abadili dini!π
Una watoto wangapiNahitaji mume/mchumba mwenye malengo awe Morogoro au Dodoma, awe mkristo, awe na kazi au biashara yenye uhakika wa kipato.
Mimi ni muajiriwa -private , am black beauty, loving and charming +hardworking. Nipo Morogoro am 163 tall , aliyetayari Ani PM
Shem unamkana c. Wide[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi sihitaji kwakweli, ingawa niko single