Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Kumekucha na makucha yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AminaMungu akupatie hitaji la moyo wako
Shem unamkana c. Wide
Ww mbaya ww [emoji1787][emoji16]
Ungekubali kuwa Muislam ningekupatia ji handsome la Kiarabu lina miaka 38, linataka kuja kufanya kilimo cha biashara Tanzania.
Mkifyatua hapo mnatowa mijitoto ya kishombe kishombe, mizuri kuliko ile ya wakimbizi wa wa Msumbiji huko Morogoro.
Kama staili ya kina Abood bus, si unamuona alivyo? mama yao Mluguru kabisa.
Mpatie Mtoto wako bibi.Ungekubali kuwa Muislam ningekupatia ji handsome la Kiarabu lina miaka 38, linataka kuja kufanya kilimo cha biashara Tanzania.
Mkifyatua hapo mnatowa mijitoto ya kishombe kishombe, mizuri kuliko ile ya wakimbizi wa wa Msumbiji huko Morogoro.
Kama staili ya kina Abood bus, si unamuona alivyo? mama yao Mluguru kabisa.
HelloMungu ni mwema sana
Nami niko single tuungane tusukume gurudumu la maisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi sihitaji kwakweli, ingawa niko single
unamalizaje upwiru weyee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi sihitaji kwakweli, ingawa niko single
Duh so ukiingia tuu kwenye ndoa ni kutia mimbaHaya mabro kazi kwenu kutuletea wifi [emoji23][emoji23]
na hili baridi tunategemea mwezi wa 4 mwakani kuitwa maaunt
Nami niko single tuungane tusukume gurudumu la maisha
unamalizaje upwiru weyee
Duh so ukiingia tuu kwenye ndoa ni kutia mimba
wewe huyooo.. unavyopendaa uboboooSitumii vyakula vya kuleta upwiru [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wewe huyooo.. unavyopendaa ubobooo
Mie ndio umenibania kunipaaa dah.. dunia haipo sawaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ulivyo mtraaamu mpk nanena kwa lugha naanzaje kuuchukia???