Natafuta mchumba/mume

Status
Not open for further replies.
😅😅Kule twitter above 30 waliwashiwa moto jana mpaka nawaonea huruma.

Anyway una watoto wangapi?
 

Fanya mtoto mmoja from Arab countries [emoji3][emoji3]au inakuja midume tuh [emoji19]
 
Mpatie Mtoto wako bibi.
 
Ukiwa tayari nicheki nikuunge na ndugu angu..
Yeye umri: 50
Elimu : Mwalimu
Dini :Muslim..
Ukiwa serious lakini.
 
Duh so ukiingia tuu kwenye ndoa ni kutia mimba

Ndio maanake sasa mnachelewesha nini?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] afu ulikuwa wapi swahiba mbona adimu sana?? Au wamekuficha
 
Kama ni mpira mda huu ni dakika ya 88 na bado unashambuliwa sana! Unapigiwa nusu uwanja, weka mpira kwapani, acha masharti Ili mradi awe anapumua tuu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…