Natafuta Mchumba/mume

Natafuta Mchumba/mume

Kuna rafiki yangu lakini hayupo hapa JF, je nikuunganishe naye au wewe unawazimia ma-Great thinkers tu? atakupataje? kama utataka awasiliane nawe niPM contacts zako.
all the best my dear
 
Hahahahahah naona soni kuandika

Mambo ya mtarimbo.......shapeless etc etc

nilikuwa napata kitochi hapa nikaona hii post inapita sasa sijaielewa, unaweza fafanua hapo kidogo
 
Mimi wangu mchagga na yupo bomba kila idara!
 
Dada acha hizo mambo za kutafuta humu ndani, ina maana wewe watu wote unaowajua hujaona wanafaa? Wewe utakuwa na matatizo. Siyo bure
 
Back
Top Bottom