Stephano Shahidi
Member
- May 28, 2023
- 61
- 79
Wadau habarini,
Mimi Nina tabia nzuri Sana mwenye huruma sijisifu bali naongea ukwwli wangu nilioa mwanamke ambae hakuwa na malezi mazuri alijichanganya mtaani na kufuata uhu I kwa ujumla alikuwa mshamba wa mapenzi alipojua saloon ni nini akachepukamazima. Kwa sasa nahangaika Sana kujua nitampata wapi ambae atakuwa sawa kwangu.
Hivyo basi nimekuja kwenu mnipe ushauri ni wapi mtandao gani au group gani Kuna waalimu au manesi hujinadi kutaka kuolewa, nimejaribu kuangalia magroup ya Facebook sioni mtu akijinadi yeye ni nesi au mwalimu, ushauri tafadhali haswa kwa waliobahatika kupata wachumba wa namna hiyo namba yangu ya whattssapp 0624726872
Mimi Nina tabia nzuri Sana mwenye huruma sijisifu bali naongea ukwwli wangu nilioa mwanamke ambae hakuwa na malezi mazuri alijichanganya mtaani na kufuata uhu I kwa ujumla alikuwa mshamba wa mapenzi alipojua saloon ni nini akachepukamazima. Kwa sasa nahangaika Sana kujua nitampata wapi ambae atakuwa sawa kwangu.
Hivyo basi nimekuja kwenu mnipe ushauri ni wapi mtandao gani au group gani Kuna waalimu au manesi hujinadi kutaka kuolewa, nimejaribu kuangalia magroup ya Facebook sioni mtu akijinadi yeye ni nesi au mwalimu, ushauri tafadhali haswa kwa waliobahatika kupata wachumba wa namna hiyo namba yangu ya whattssapp 0624726872