gambalama_deo
Member
- Mar 11, 2021
- 24
- 19
Mm kijana umri miak 26 , mwajiriwa serikalini, natafuta mchumba mwanajeshi ,umri miak 20-25 , mwenye hofu ya mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]Nenda Ukraine wapo wengi sana
Kijana ke or me[emoji848]Mm kijana umri miak 26 , mwajiriwa serikalini, natafuta mchumba mwanajeshi ,umri miak 20-25 , mwenye hofu ya mungu.
MeKijana ke or me[emoji848]
NotedSimple tembelea maeneo ya mesi zao wapo weeengi ni wewe tu
Ewaaah, Mimi natafuta mwenye sifa ka zakoUnataka mpewe uraia wa Ukraine nini ili mkasaidie jeshi? , mimi nimepitia jkt yaani nilikua kuruta, nanga wa demo vipi sifai mkuu?
Mwanajeshi kafundishwa kuua, sasa hiyo hofu ya 'mungu' inatoka wapi? Labda maelezo juu ya mungu/ Mungu sio sahihi.Mm kijana umri miak 26 , mwajiriwa serikalini, natafuta mchumba mwanajeshi ,umri miak 20-25 , mwenye hofu ya mungu.
Wanajeshi mwenye miaka 20 labda umuumbe wewe mwenyeweMm kijana umri miak 26 , mwajiriwa serikalini, natafuta mchumba mwanajeshi ,umri miak 20-25 , mwenye hofu ya mungu.
Nitafute PM Nina ujumbe wako kutoka kwa madam NanaUnataka mpewe uraia wa Ukraine nini ili mkasaidie jeshi? , mimi nimepitia jkt yaani nilikua kuruta, nanga wa demo vipi sifai mkuu?
Hi babe Brake ya kenge😂 hilo jina lako tu😂Ewaaah, Mimi natafuta mwenye sifa ka zako
Mekumis sana, mzima lknHi babe Brake ya kenge[emoji23] hilo jina lako tu[emoji23]
Nimependa hako kachupa alichovaa kifuani, hivi amehifadhia nini hicho?!Uwezi mpata mana umri uwo wengi ni masingle wako Mahangani kwa muda wa miaka 6 labda uende TAU pale ndo kuna mishangingi minguba mishankupe utaipata ila ma MTM vigori upati...View attachment 2133635
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app