Natafuta mchumba( mwanajeshi)

Natafuta mchumba( mwanajeshi)

Unataka mpewe uraia wa Ukraine nini ili mkasaidie jeshi? , mimi nimepitia jkt yaani nilikua kuruta, nanga wa demo vipi sifai mkuu?
Baby tuje tuanzishe uzi wetu wa kuchangisha michango ya harusi yetu mwezi july.
 
Askari wa Jeshi hua hawaruhusiwi kuolewa na raia lifuatilie hili
 
Back
Top Bottom