Corosive
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 1,460
- 2,908
Ameweka juice ya tende humo,inaongeza morali ya mapambanoNimependa hako kachupa alichovaa kifuani, hivi amehifadhia nini hicho?!
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameweka juice ya tende humo,inaongeza morali ya mapambanoNimependa hako kachupa alichovaa kifuani, hivi amehifadhia nini hicho?!
For sureAmeweka juice ya tende humo,inaongeza morali ya mapambano
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Utadundwa hadi ukome
Baby tuje tuanzishe uzi wetu wa kuchangisha michango ya harusi yetu mwezi july.Unataka mpewe uraia wa Ukraine nini ili mkasaidie jeshi? , mimi nimepitia jkt yaani nilikua kuruta, nanga wa demo vipi sifai mkuu?
Hata mi natafuta mchumba MwanajeshiMm kijana umri miak 26 , mwajiriwa serikalini, natafuta mchumba mwanajeshi ,umri miak 20-25 , mwenye hofu ya mungu.
Nitext kwenye namba hizoo 0684774712Mm kijana umri miak 26 , mwajiriwa serikalini, natafuta mchumba mwanajeshi ,umri miak 20-25 , mwenye hofu ya mungu.
Mm kijana umri miak 26 , mwajiriwa serikalini, natafuta mchumba mwanajeshi ,umri miak 20-25 , mwenye hofu ya mungu.
NjoooMm kijana umri miak 26 , mwajiriwa serikalini, natafuta mchumba mwanajeshi ,umri miak 20-25 , mwenye hofu ya mungu.
NipoooMm kijana umri miak 26 , mwajiriwa serikalini, natafuta mchumba mwanajeshi ,umri miak 20-25 , mwenye hofu ya mungu.
Huyu hawezi ua mtu.
Wanaolewa kaka...halafu wanapenda kutoka na raiaAskari wa Jeshi hua hawaruhusiwi kuolewa na raia lifuatilie hili
Wewe kumbe ni Ke?Mike nipo hapa
Wanapenda lakini sheria haziwaruhusuWanaolewa kaka...halafu wanapenda kutoka na raia
Asante kwa kunijuza, mkuu.Wanapenda lakini sheria haziwaruhusu
Ulikua mkuu wa hanger😂😂😂Unataka mpewe uraia wa Ukraine nini ili mkasaidie jeshi? , mimi nimepitia jkt yaani nilikua kuruta, nanga wa demo vipi sifai mkuu?