gerald anthoni
Member
- Jan 27, 2018
- 79
- 60
udsmChuo gan upo?
siindak imla apa,chukua concept upiteUpo chuo mwaka wa mwisho halafu unaandika "adi" badala ya hadi? Chama chako ni CCM?
cjaomba ushaurKwa uandishi huu lazima ugongewe sana mkeo kuanzia kwenye level ya urafiki, uchumba hadi ndoa.
Be a gentleman
cpo kuandika imla apa, kama uelew pita ujue haikuhusuPamoja na kuwa mwaka wa mwisho, bado hujui kuandika.
Sentensi yenye maneno kumi inakushi nda.
Wewe msomi wa chuo kikuu mwaka wa mwisho Siyo "apa" ni "hapa"!siindak imla apa,chukua concept upite
Me nakushauri kama upo chuo tafuta chuo hukohuko maana ata me mchumba wangu nlimpata nlivokua chuo, huku mtaani kupata anaeeleweka ni kazi sana. Labda ujaribu kanisani, unaweza ukapata wa kueleweka.Natafuta mwanamke nitakayedate naye hadi tujenge ndoa. Nipo Chuo mwaka wa Mwisho
Umri awe kuanzia miaka 18 adi 24, awe mwenye hofu ya Mungu, mkweli, ni vizuri awe Dar es Salaaam
Namba za simu 0788948431 kwa aliye tayari