Natafuta mchumba (mwanamke)

Natafuta mchumba (mwanamke)

yumoki

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2015
Posts
284
Reaction score
133
Mim ni kijana ambaye natafuta mchumba.

Sifa kuu za mchumba ninayemtafuta;
1) Awe muislamu.
2) Awe serious.
3) Asizid miaka 35.

Mimi sasa sifa zangu;
1) Kwasasa najishughulisha na biashara.
2) Mweusi.
3) 33 ndio umri wangu.

Karibuni tujenge familia ili mwaka 2023 tuanze vyema.
 
kuna jamaa alisema anamtafutia mume dada yake.
 
Mim ni kijana ambaye natafuta mchumba
Sifa kuu
1.awe muislamu
2)awe serious
3)asizid miaka 35
Mimi sasa sifa zangu
1)kwasasa najishughulisha na biashara
2)mweusi
3)33ndio umei wangu karibuni tujenge familia ili mwaka 2023 tuanze vyema
Wewe ni Jinsia gani?
 
Mim ni kijana ambaye natafuta mchumba
Sifa kuu
1.awe muislamu
2)awe serious
3)asizid miaka 35
Mimi sasa sifa zangu
1)kwasasa najishughulisha na biashara
2)mweusi
3)33ndio umei wangu karibuni tujenge familia ili mwaka 2023 tuanze vyema

Pia mimi ni wa kiume
 
Back
Top Bottom