Wewe jinsia gani?Habari Wana jamii forum
Mimi ni kijana umri miaka 27, ni mfanyabiashara na Nina degree ya chemistry
Natafuta mwanamke wa kuoa ,
Naishi mabibo
Umri wa mwanamke usizidi miaka 22
Huyo mbona yupo...sii mie hapa tena perfect kabisa mie nina 42 wee una 32 kitu mukide kabisaAkitokea anaetak mwenye miak 32 niite 😂😂
Tupo bro....Hamna pisi below 22 yrs humu, unapoteza muda.
Mshangazi😄😄Akitokea anaetak mwenye miak 32 niite 😂😂
Kwani una miaka mingapi mpenzi wangu, Nakupenda sana siwezi kuishi bila weweUmri umenikosesha mume.
😀😀Vigezo vyangu awe anapumua tuMshangazi😄😄
Weka tangazo na vigezo vyako upate mme
Miak 42 una mke na wajukuu wew😀😀Huyo mbona yupo...sii mie hapa tena perfect kabisa mie nina 42 wee una 32 kitu mukide kabisa
Pesa ya kutunza mme unayo lakini😄😀😀Vigezo vyangu awe anapumua tu
Hapana sina mke wala wajukuu...njoo kwangu basi wewe umri perfect kbisa tunakuwa mume na mke maisha yanasonga.Miak 42 una mke na wajukuu wew😀😀
Pesa Sina aisee wanawake hatujawah kuwa na Hela😃😃😃Pesa ya kutunza mme unayo lakini😄
😄Kama huna pesa ndo ivo tenaPesa Sina aisee wanawake hatujawah kuwa na Hela😃😃😃
PunguzaUmri umenikosesha mume.
Inabidi mleta uzi ndio aongeze asogee hadi 40Punguza
Hataki sasaInabidi mleta uzi ndio aongeze asogee hadi 40
Ebu subiri aje mwenyewe, usimsemee.Hataki sasa