Wewe jinsia gani?Habari Wana jamii forum
Mimi ni kijana umri miaka 27, ni mfanyabiashara na Nina degree ya chemistry
Natafuta mwanamke wa kuoa ,
Naishi mabibo
Umri wa mwanamke usizidi miaka 22
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe jinsia gani?Habari Wana jamii forum
Mimi ni kijana umri miaka 27, ni mfanyabiashara na Nina degree ya chemistry
Natafuta mwanamke wa kuoa ,
Naishi mabibo
Umri wa mwanamke usizidi miaka 22
Huyo mbona yupo...sii mie hapa tena perfect kabisa mie nina 42 wee una 32 kitu mukide kabisaAkitokea anaetak mwenye miak 32 niite 😂😂
Tupo bro....Hamna pisi below 22 yrs humu, unapoteza muda.
Mshangazi😄😄Akitokea anaetak mwenye miak 32 niite 😂😂
Kwani una miaka mingapi mpenzi wangu, Nakupenda sana siwezi kuishi bila weweUmri umenikosesha mume.
😀😀Vigezo vyangu awe anapumua tuMshangazi😄😄
Weka tangazo na vigezo vyako upate mme
Miak 42 una mke na wajukuu wew😀😀Huyo mbona yupo...sii mie hapa tena perfect kabisa mie nina 42 wee una 32 kitu mukide kabisa
Pesa ya kutunza mme unayo lakini😄😀😀Vigezo vyangu awe anapumua tu
Hapana sina mke wala wajukuu...njoo kwangu basi wewe umri perfect kbisa tunakuwa mume na mke maisha yanasonga.Miak 42 una mke na wajukuu wew😀😀
Pesa Sina aisee wanawake hatujawah kuwa na Hela😃😃😃Pesa ya kutunza mme unayo lakini😄
😄Kama huna pesa ndo ivo tenaPesa Sina aisee wanawake hatujawah kuwa na Hela😃😃😃
PunguzaUmri umenikosesha mume.
Inabidi mleta uzi ndio aongeze asogee hadi 40Punguza
Hataki sasaInabidi mleta uzi ndio aongeze asogee hadi 40
Ebu subiri aje mwenyewe, usimsemee.Hataki sasa