Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi tar 19 ni Taifa au KMC?Jitahidi ufike kwenye mechi za yanga pale chamazi au 19 utajipatia mchumba Mali safi kabisa
Mabibo watoto wote wa NIT hao unakuja kutafuta mchumba humu.Habari Wana jamii forum
Mimi ni kijana umri miaka 27, ni mfanyabiashara na Nina degree ya chemistry
Natafuta mwanamke wa kuoa ,
Naishi mabibo
Umri wa mwanamke usizidi miaka 22
Pole sana besty...always next timeUmri umenikosesha mume.
🤣🤣 Aah! sitaki pole yako.Pole sana besty...always next time
🤣🤣🤣Kwa nini?🤣🤣 Aah! sitaki pole yako.
Wee una mambo mengi tatizo lako.🤣🤣🤣Kwa nini?
Ila wee basi tuu unajichelewesha ungenikubalia ombi langu ungekuwa tayari upo engaged
Kila leo nakuulizaga hayo mambo mengi ni yapi tenaWee una mambo mengi tatizo lako.
Hivi tar 19 ni Taifa au KMC?
Mambo yako ya 800kKila leo nakuulizaga hayo mambo mengi ni yapi tena
Haya ni tantalila za jf tunapunguza stress za maisha bwanaMambo yako ya 800k