Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kama ni aidii yangu jeEbu subiri aje mwenyewe, usimsemee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni aidii yangu jeEbu subiri aje mwenyewe, usimsemee.
No way, toka zako.Kama ni aidii yangu je
😂 hujamboNo way, toka zako.
KUa makini gigy money ana account jf asione hiiHabari Wana jamii forum
Mimi ni kijana umri miaka 27, ni mfanyabiashara na Nina degree ya chemistry
Natafuta mwanamke wa kuoa ,
Naishi mabibo
Umri wa mwanamke usizidi miaka 22
Sijambo. Hujambo?😂 hujambo
Sijambo pia za kupotea?Sijambo. Hujambo?
Wewe ndio umepotea. Nasikia kuna lishangazi limekuficha.Sijambo pia za kupotea?
Umejuaje ni Mabibo NIT na siyo Mabibo Mwisho, au Mabibo Hostel?Mabibo watoto wote wa NIT hao unakuja kutafuta mchumba humu.
Kuwa mchumba wake, au wewe siyo wa alufu 2?Kila la kheri
Ni redio gani hiyo inasikika 😂Wewe ndio umepotea. Nasikia kuna lishangazi limekuficha.
Mudi FmNi redio gani hiyo inasikika 😂
Nikajua ni CAF fm maana ndio wapo live kwa sasa 😂Mudi Fm
Mimi wa alufumbili lakini Sina sifa za nyongezaKuwa mchumba wake, au wewe siyo wa alufu 2?
Sifa gani huna?Mimi wa alufumbili lakini Sina sifa za nyongeza
Nimezidi 22 anayotakaSifa gani huna?
Oooh poleNimezidi 22 anayotaka
🙏Oooh pole
Mabibo zote izo zina Watoto wengi sana...Sasa Mabibo hostel si ndio balaaUmejuaje ni Mabibo NIT na siyo Mabibo Mwisho, au Mabibo Hostel?
Mbona kama nakufahamWatakuja
ni mimi hujakoseaMbona kama nakufaham