Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
me vigezo ninavyo isipokuwa mweusi kama lami kama uta ignore hilo pliz nifikirie
kabila?
Mimi naona nimekidhi viwango vyote lakini nataka kujua kama umejaliawa ndombolo ya solo?
Una kazi ngumu,
chapa kazi, mume atakuona ukichapa kazi!!! Ukifanya ibada, nikupe maneno machache!
"Mwali huolewa na mwanaume asiyemtaka, bali mjane huolewa na mwanaume ampendaye"
usikosee kuelewa hayo maneno.[/QUOTE
asante kwa ushauri wako mkuu, sio kwamba huku mtaani hamna wanaonifata ila tatizo la huku mtaani mtu anakufata kwa ajili ya kitu fulan
kama umeshindwa kumpata miongoni mwa unaowaona, unatarajia utampata katika hawa kwenye maandishi? Nako choice yako itakuwa kama huko kitaa. Nakuhakikishia hatimaye utakuja olewa na mwanaume aliyekupenda, nawe utakuwa umemkubali, sio kumpenda, otherwise chagua wewe unayempenda, sio usakizie watu wakutokee, "Utamkubali mwanaume atakayekusumbua sumbua saaaana ili utoe nuksi ya kutokufunga ndoa, then utajakiona kifaa utakachokifia kiukweli!!!!
mkuu Ruta mi sichagui kabila ila mi ni mnyambo
Hi wana jf,
Mi ni mdada mwenye umri wa miaka 24, dini yangu ni muislam,nimeajiliwa ktk taasisi ya kiserikali,muonekano wangu sio mfupi wala mrefu, mzuri kiasi na rangi yang si mweupe wala mweusi ni natural situmii mkorogogo na napenda maendeleo na napenda kujituma pia.napenda kuishi maisha ya amani furaha na upendo
Mwanaume nimtafue,
Dini yake awe muislam,umri kuanzia miaka 26-32,Awe mfanyakazi au mfanya biashara,awe mrefu kiasi na asiwe mnene sana,awe anajua maisha nini, mpenda maendeleo, awe na upendo wadhati.jwa yeyote mwenye nia njema tuwasiliane kupitia email byera43@yahoo.com.
Hi wana jf,
Mi ni mdada mwenye umri wa miaka 24, dini yangu ni muislam,nimeajiliwa ktk taasisi ya kiserikali,muonekano wangu sio mfupi wala mrefu, mzuri kiasi na rangi yang si mweupe wala mweusi ni natural situmii mkorogogo na napenda maendeleo na napenda kujituma pia.napenda kuishi maisha ya amani furaha na upendo
Mwanaume nimtafue,
Dini yake awe muislam,umri kuanzia miaka 26-32,Awe mfanyakazi au mfanya biashara,awe mrefu kiasi na asiwe mnene sana,awe anajua maisha nini, mpenda maendeleo, awe na upendo wadhati.jwa yeyote mwenye nia njema tuwasiliane kupitia email byera43@yahoo.com.
mdodo wangu, Muombe Mungu akujaalie mume mwema utakayempenda, maana hapa naona kama utakutana na watu ambao hawako serious na kukuvuruga tu. wewe bado mdogo sana, miaka 24, nakushauri tulia fanya kazi zako na kama kujiendeleza kielimu fanya hivyo, usikimbilie ndoa kwa namna hii, Mungu atakujaalia tu wala usihofu.