Natafuta mchumba(Mwanaume)

Weka picha, ukinivutia nitakuwa tayari kubadili dini.
 
me vigezo ninavyo isipokuwa mweusi kama lami kama uta ignore hilo pliz nifikirie
 
 

nafasi hii ni yangu. Vigezo vyote ninavyo! Mwamwamwah
 

Akina andunje hatuna nafasi? Kila rakheri bibie.
 
Kunakazikwelikweli kwani dada tangu unasoma sec.chuokikuu hukumuandaa atayekuja kukuoa? Maana humu jf ni fullmasiara.
 
Elimu yako certificate,diploma,degree au masters weka hadharan wa2 wajue! Na unaemtafuta awe na elimu gani ?
 
Wewe utapata hapa jamvini vigezo vyako vinaonesha uko serious....
Mungu akutangulie.....
 
Umesema uko kwenye taasisi ya serikali je m2 angependa kujua ni ya afya,elimu n.k 2ambie japokuwa cna vigezo!
 
Je kama mtu kazidi mwaka 1 nkimaanisha ana miaka33 ataruhusiwa ! Alaf weka picha yako 2kuone jins ulivyo!
 
Umesema uko kwenye taasisi ya serikali je m2 angependa kujua ni ya afya,elimu n.k 2ambie japokuwa cna vigezo!
 
Kunakazikwelikweli kwani dada tangu unasoma sec.chuokikuu hukumuandaa atayekuja kukuoa? Maana humu jf ni fullmasiara.
 
Dini tu kwangu ndo kimekuwa kikwazo ...be blessed!
 

watu bhana, hajakuomba ushauri, soma post yake tena, kasema anatafuta mchumba!!!

Above all 24 is enaf kuwa na mchumba, wewe kwa mara ya kwanza kuwa na mchumba ulikuwa na miaka thelathini na ngapi????

Good lucky gal!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…