Natafuta mchumba(Mwanaume)

Dunia utandawazi now dayz, hata hapa anaweza mpata wake wa moyoni , ingia http://www.match.com/home/mymatch.aspx uone watu wanavyopata wachumba tena wanaoana...
 

Na mimi ni kijana mwenzio (27 yrs), na bado sijapata mwenza wangu na nahitaji kumpata kwa sasa, ila namisi kigezo kimoja tu nacho ni huyu jamaa anaeitwa ajira huyu. Japokuwa kwa sasa najiendeleza kielimu zaidi, ila nipo pia kwenye mchakato wa kutafuta ajira. Ningekutafuta bibie ila kwakuwa ajira kwangu bado ni kikwazo basi ngoja nisizibe rizki kwa wengine. Inshallah kuwa na subra utampata tu aliekamilisha sifa zote ulizotaja.
 
Una elimu gani wewe? Mshara wako kwa mwezi ni sh ngapi? Unafanya offisi gani ya serikali?
 
Naitwa Jonathan Lucas Kamwavahs nimezaliwa 25.2.1987 umri26years,elimu chuo kikuu,nimejiajili,mrefu lakini si sana,si mweusi wala mweupe,ukitaka kuniona ingia facebook andika Jonathan Kamwavahs utaniona,kabila mnyamwezi simu no 0719450426,lakini ni mkristo tukikubaliana hili si tatizo.
 

Mzigo mzito mpe mnyamwezi.Kula kiporo hicho mdogo wangu,kabla hakijachacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…