Najua kigezo cha saut ya kubembelza na kuumizwa hivyo HunaKila la kheri. mama natamani ningekidhi vigezo.
Ni binti mwenye umri wa miaka 25 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhati
sifa zangu
sina mtoto
sijawai olewa
nimewai kuwa na mahusiano
elimu kidato cha nne
sio mnene wala sio mwembamba
rangi ya kati
mjasiriamali
sifa za ninae mtaka
awe ameumizwa
maji ya kunde
umri 28 kuendeea
awe kacheza kachoka hana tamaa
awe anajituma na apende ujasiliamali
awe anajua kubembelezaa sio unakua na mtu utafikili mpo ccp mosh au jkt
NB naomba awe na mapenzi ya kweli mchapa kazi na awe na sauti ya kubembeleza
Hicho cha kuumizwa kimenishushia marks aseehNajua kigezo cha saut ya kubembelza na kuumizwa hivyo Huna
KWA hisan ya watu wa vodacom
Nilijua tu hutoi nafas ya kuumizwa kamweHicho cha kuumizwa kimenishushia marks aseeh
Kwani wewe siku hizi unatoaNilijua tu hutoi nafas ya kuumizwa kamwe
Eeh mkuuhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaha
unazinguaKila la kheri. mama natamani ningekidhi vigezo.
Nini tena mkuuunazingua
Kuna mtu nimempa nafas ajaribu kucheza na moyo wangu ila naona kashashindwaKwani wewe siku hizi unatoa