Natafuta mchumba mwenye penzi la kweli

Natafuta mchumba mwenye penzi la kweli

These things are in two sides whether uumize au uumizwe nukta. Sasa wewe kama huumizwi basi unaumza.
Kwanini lakini unataka kunidanganya na uzee huu sajientia?

Kwahiyo ni two saidi tu kweli onile? Je msipoumizana kiamani kiroho safi kila mtu akaridhika kuoshwa kikojoleo chake kila mtu akatulia kivyake.

Watch not to zet eksitent.
 
Hapa ndio utajua wanaume ni bidhaa adimu na waliopo waowaji ni wachahe
 
Kwanini lakini unataka kunidanganya na uzee huu sajientia?

Kwahiyo ni two saidi tu kweli onile? Je msipoumizana kiamani kiroho safi kila mtu akaridhika kuoshwa kikojoleo chake kila mtu akatulia kivyake.

Watch not to zet eksitent.
Bado nastand na msimamo ule ule. Hakunaga kiroho safi lazima kuna mmoja aliumia tu. Yaani HAKUNAGA
 
Bado nastand na msimamo ule ule. Hakunaga kiroho safi lazima kuna mmoja aliumia tu. Yaani HAKUNAGA
Kuna mtu nilikutana naye tukafanya yetu baada ya week moja tukapotezeana pasipo yeyote kulalama wala kumkumbuka mwenzake. Nwei tunaongea feelings ambazo ni ngumu kuzitransform unielewe vizuri.
 
Mimi nina vigezo hivyo nawe unajua kubembeleza sio siku mbili unaanza kunisogezea ugali kwa mguu
 
Mmesha chakazwa mnataka mtuuzie mbuzi kwenye magunia kum nyie
 
Kuna mtu nilikutana naye tukafanya yetu baada ya week moja tukapotezeana pasipo yeyote kulalama wala kumkumbuka mwenzake. Nwei tunaongea feelings ambazo ni ngumu kuzitransform unielewe vizuri.
Hiyo one night stand ni exception.
 
Ni binti mwenye umri wa miaka 25 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhati
sifa zangu
sina mtoto
sijawai olewa
nimewai kuwa na mahusiano
elimu kidato cha nne
sio mnene wala sio mwembamba
rangi ya kati
mjasiriamali

sifa za ninae mtaka
awe ameumizwa
maji ya kunde
umri 28 kuendeea
awe kacheza kachoka hana tamaa
awe anajituma na apende ujasiliamali
awe anajua kubembelezaa sio unakua na mtu utafikili mpo ccp mosh au jkt
NB naomba awe na mapenzi ya kweli mchapa kazi na awe na sauti ya kubembeleza
Hapo chacha.Wakaka kazi kwenuuu
 
Usafi wa papuchi je, unajiweka sawa lakini huko? Je, unavaa nywele za maehemu (wig), unapenda sana kuchat Facebook na Insta, una marafiki machangu, unafanya kazi, una magonjwa ya maabukizi, unajuwa kupika, wewe ni msafi si kimwili tu kutunza nyumba, unajuwa kufua nguo? Hivi ni sifa tunazotaka kujuwa.....vingine baada ya kufanyiwa test kwanza.
Teh teh teh
 
Back
Top Bottom