Ndio maana kumbe umeshindwa kupata hata hao wazungu wasiokuwa na akili, i belive hawa wa kwetu huku ndio hupati kabisaaaMijitu mengine bada sasa nyie wanaume mna comment nini hapa, nimesema natafuta mke, sasa nyie mbn mnanichafulia barza yangu. wanaume hawaruhusiwi kucomment hapa.
But nina shepu ya biringanya
Ndio maana kumbe umeshindwa kupata hata hao wazungu wasiokuwa na akili, i belive hawa wa kwetu huku ndio hupati kabisaaa
Pole sanami sifa zote ninazzo mpaka nimepitiliza.....bahati mbaya nimeanguka bafuni.....
Dah unanipa tabu sana wewe, hivi kama ni kweli kusoma hujui basi hata picha nayo huwezi tazama? Hebu soma nilichoandika halafu ufanye comparison na ulichokisema wewe. Dah Mungu msaidie huyu mtu apate mwanamke mwenye akili ya kumuongozaKama hili jamaa halijasoma kabisa, nani kakwambia anashindwa kupata mademu?? mademu wapo kibao. na kama unafagilia wazungu huku tunawaona mavi tuu. ukienda club unajichukulia bila hata kutongoza, kama ww unawaona dili sisi tulioko huku hatuwataki. kisha mimi hapa sijasema nimeshindwa kupata demu. nimeandika kua natafuta mke, so soma kwanza kisha ukoments. ndio maana nikasema wanaume sitaki waandike kitu hapa
vipi kina dada ina maaana hizo sifa hamna au??? sio lazima uwe umesoma au vp just uwe na sifa ya shape tuu
Mimi ni kijana mwenzenu naitwa junaid, ni kijana mwenye asili ya kiarabu na ninaishi Uk. natafuta mchumba mwenye sifa hizi, hizi sifa ni muhimu sana maana mwanamke wa ndoto yangu nataka awe hivi :
1 ) mrefu
2)Rangi yoyote
3)kabila lolote
4)Dini awe mwislamu au kama ni mkiristo basi awe tayari kuslimu
5)Umbo - Hapa kwenye umbo ni muhimu sana, maana nataka awe juu mwembamba na mwenye maziwa madogo kisha chini awe na mahipsi hasaaa pia na awe na ma_ta_ko, yaani umbo number 8. Wallah nikimpata huyu nitafurahi sana, naamini wapo wengi sana
6)Awe mpole mvumilivu na mwenye heshima zake na aliyetulia.
Nina mpango wa kuja haraka pale atakapojitokeza kuja kuonana na kupanga maisha, kuhusu pa kuishi atachagua yeye kama ulaya ama africa.
Baada ya mawasiliano ya mwanzo kitachofuata ni picha yake na kama nitaridhika nae basi nitampatia number zangu za simu na picha na pia kuchat nae kwenye skype.
Natumai atakuja siku moja.
mi sifa zote ninazzo mpaka nimepitiliza.....bahati mbaya nimeanguka bafuni.....
unatafuta mke au unatafuta chombo cha starehe kufurahisha fantasy zako????hujui kesho na keshokutwa atazaa shape itabadilika,utamuacha utafute mwingine mwenye shape????.........btw hata machangudoa wapo wenye umbo la juu mwembamba chini mnene kwa nini usiende kwa hao kwanza?......mnh
Hapo tu kwenye kung'ang'ania shape ndo pamenifanya nijue kuwa unatafuta bidhaa na sio mke!!
una uhusiano na ustaadh wangu, marehem sharif junaid?