Natafuta Mchumba na baadae awe Mume

Natafuta Mchumba na baadae awe Mume

Nawashukuru sana wote ambao mmechukua muda wenu kunitumia PM. Kiukweli jumbe zimekuwa nyingi na naanza sasa kuwajibu baadhi ya members ambao ninaona kwamba tunaweza kuendeleza mawasiliano na possibly akapatikana mmoja ambaye tutaridhiana. Endapo utaona sijajibu ujumbe wako please elewa kwamba sijaradhau na pengine you have been turned down.

Shukrani.
 
Nawashukuru sana wote ambao mmechukua muda wenu kunitumia PM. Kiukweli jumbe zimekuwa nyingi na naanza sasa kuwajibu baadhi ya members ambao ninaona kwamba tunaweza kuendeleza mawasiliano na possibly akapatikana mmoja ambaye tutaridhiana. Endapo utaona sijajibu ujumbe wako please elewa kwamba sijaradhau na pengine you have been turned down.

Shukrani.
Haya tunashukuru kwa taarifa labda niseme tu nimechelewa kutuma maombi na sina choyo kwq wenzangu watakaopita kwenye panel interview.

Jaliwa mme mwema mjazwe mapene teletele. Sema amina
 
Nawashukuru sana wote ambao mmechukua muda wenu kunitumia PM. Kiukweli jumbe zimekuwa nyingi na naanza sasa kuwajibu baadhi ya members ambao ninaona kwamba tunaweza kuendeleza mawasiliano na possibly akapatikana mmoja ambaye tutaridhiana. Endapo utaona sijajibu ujumbe wako please elewa kwamba sijaradhau na pengine you have been turned down.

Shukrani.
ZoomTanzania![emoji13] [emoji13] waliotuma maombi wanajaa shamba la bibi!
 
Nadharia unayo wewe..Ungewauliza JF why wameweka jukwaa jili kuliko kuja kuwakera Watu wanaotafuta wachumba kwa njia nzuri Na iliyobarikiwa Na uongozi wa JF.Cha ajabu Nani kakulazimisha kuingia humu???[/Q 99% hawapo srias bro,,,kuamn hlo leo siku ya 3,haya muulze huyo stella kapata? ndio utajua kama mnachezewa akli
 
Habari za leo JF,

Naitwa Stella najitokeza mbele yenu leo kutafuta mchumba na baadae Mungu akipenda basi awe mume wangu wa maisha.

Kuhusu Mimi na Ninayemhitaji

  1. Ninafanya kazi kwenye moja ya media houses hapa Tanzania
  2. I am in my late 30's
  3. Si mweupe kivile wala si mweusi niko hapo in between
  4. Nahitaji mwanaume mwenye dini yoyote sibagui
  5. Awe na umri kuanzia kama huo wa kwangu na kuendelea
  6. Situmii kilevi cha aina yoyote
  7. Mengine tutaelezana PM
Wanaume wenye nia ya dhati wanakaribishwa.


Update: 08.06.2017 saa 1 dakika 10 usiku.


Nawashukuru sana wote ambao mmechukua muda wenu kunitumia PM. Kiukweli jumbe zimekuwa nyingi na naanza sasa kuwajibu baadhi ya members ambao ninaona kwamba tunaweza kuendeleza mawasiliano na possibly akapatikana mmoja ambaye tutaridhiana. Endapo utaona sijajibu ujumbe wako please elewa kwamba sijaradhau na pengine you have been turned down.

Shukrani.
Kwa ulivyo jieleza na kutoa mrejesho inaonekana ni mwanamke unayejiheshimu, jielewa na unafaa kuwa mke na mama wa familia bora, Mungu akujalie umpate wa namna yako
 
Habari za leo JF,

Naitwa Stella najitokeza mbele yenu leo kutafuta mchumba na baadae Mungu akipenda basi awe mume wangu wa maisha.

Kuhusu Mimi na Ninayemhitaji

  1. Ninafanya kazi kwenye moja ya media houses hapa Tanzania
  2. I am in my late 30's
  3. Si mweupe kivile wala si mweusi niko hapo in between
  4. Nahitaji mwanaume mwenye dini yoyote sibagui
  5. Awe na umri kuanzia kama huo wa kwangu na kuendelea
  6. Situmii kilevi cha aina yoyote
  7. Mengine tutaelezana PM
Wanaume wenye nia ya dhati wanakaribishwa.


Update: 08.06.2017 saa 1 dakika 10 usiku.


Nawashukuru sana wote ambao mmechukua muda wenu kunitumia PM. Kiukweli jumbe zimekuwa nyingi na naanza sasa kuwajibu baadhi ya members ambao ninaona kwamba tunaweza kuendeleza mawasiliano na possibly akapatikana mmoja ambaye tutaridhiana. Endapo utaona sijajibu ujumbe wako please elewa kwamba sijaradhau na pengine you have been turned down.

Shukrani.
Unawafanya kama nguo za mnadani.....ndo maana nawashangaa watu wanaowafata huko pm
 
Back
Top Bottom