Kingeke Mavoya
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 619
- 598
Haya tunashukuru kwa taarifa labda niseme tu nimechelewa kutuma maombi na sina choyo kwq wenzangu watakaopita kwenye panel interview.Nawashukuru sana wote ambao mmechukua muda wenu kunitumia PM. Kiukweli jumbe zimekuwa nyingi na naanza sasa kuwajibu baadhi ya members ambao ninaona kwamba tunaweza kuendeleza mawasiliano na possibly akapatikana mmoja ambaye tutaridhiana. Endapo utaona sijajibu ujumbe wako please elewa kwamba sijaradhau na pengine you have been turned down.
Shukrani.
ZoomTanzania![emoji13] [emoji13] waliotuma maombi wanajaa shamba la bibi!Nawashukuru sana wote ambao mmechukua muda wenu kunitumia PM. Kiukweli jumbe zimekuwa nyingi na naanza sasa kuwajibu baadhi ya members ambao ninaona kwamba tunaweza kuendeleza mawasiliano na possibly akapatikana mmoja ambaye tutaridhiana. Endapo utaona sijajibu ujumbe wako please elewa kwamba sijaradhau na pengine you have been turned down.
Shukrani.
Acha ujinga.Hili jukwaa halikufai kuitwa humu.Soma chuo hukowe unataka fursaa kuptia kunisema mm,,ucjr utapata mzgo
Nadharia unayo wewe..Ungewauliza JF why wameweka jukwaa jili kuliko kuja kuwakera Watu wanaotafuta wachumba kwa njia nzuri Na iliyobarikiwa Na uongozi wa JF.Cha ajabu Nani kakulazimisha kuingia humu???acha kuishi kwa nazaria
Kuna Watu unajua kukeraaaSiku nikiacha kupiga NYETO nitakutafuta.... Mikono yangu nili ioa siku nikiipa talaka nitakutafuta.....
Nadharia unayo wewe..Ungewauliza JF why wameweka jukwaa jili kuliko kuja kuwakera Watu wanaotafuta wachumba kwa njia nzuri Na iliyobarikiwa Na uongozi wa JF.Cha ajabu Nani kakulazimisha kuingia humu???[/Q 99% hawapo srias bro,,,kuamn hlo leo siku ya 3,haya muulze huyo stella kapata? ndio utajua kama mnachezewa akli
nan yupo chuo wwAcha ujinga.Hili jukwaa halikufai kuitwa humu.Soma chuo huko
Kwa ulivyo jieleza na kutoa mrejesho inaonekana ni mwanamke unayejiheshimu, jielewa na unafaa kuwa mke na mama wa familia bora, Mungu akujalie umpate wa namna yakoHabari za leo JF,
Naitwa Stella najitokeza mbele yenu leo kutafuta mchumba na baadae Mungu akipenda basi awe mume wangu wa maisha.
Kuhusu Mimi na Ninayemhitaji
Wanaume wenye nia ya dhati wanakaribishwa.
- Ninafanya kazi kwenye moja ya media houses hapa Tanzania
- I am in my late 30's
- Si mweupe kivile wala si mweusi niko hapo in between
- Nahitaji mwanaume mwenye dini yoyote sibagui
- Awe na umri kuanzia kama huo wa kwangu na kuendelea
- Situmii kilevi cha aina yoyote
- Mengine tutaelezana PM
Update: 08.06.2017 saa 1 dakika 10 usiku.
Nawashukuru sana wote ambao mmechukua muda wenu kunitumia PM. Kiukweli jumbe zimekuwa nyingi na naanza sasa kuwajibu baadhi ya members ambao ninaona kwamba tunaweza kuendeleza mawasiliano na possibly akapatikana mmoja ambaye tutaridhiana. Endapo utaona sijajibu ujumbe wako please elewa kwamba sijaradhau na pengine you have been turned down.
Shukrani.
Unawafanya kama nguo za mnadani.....ndo maana nawashangaa watu wanaowafata huko pmHabari za leo JF,
Naitwa Stella najitokeza mbele yenu leo kutafuta mchumba na baadae Mungu akipenda basi awe mume wangu wa maisha.
Kuhusu Mimi na Ninayemhitaji
Wanaume wenye nia ya dhati wanakaribishwa.
- Ninafanya kazi kwenye moja ya media houses hapa Tanzania
- I am in my late 30's
- Si mweupe kivile wala si mweusi niko hapo in between
- Nahitaji mwanaume mwenye dini yoyote sibagui
- Awe na umri kuanzia kama huo wa kwangu na kuendelea
- Situmii kilevi cha aina yoyote
- Mengine tutaelezana PM
Update: 08.06.2017 saa 1 dakika 10 usiku.
Nawashukuru sana wote ambao mmechukua muda wenu kunitumia PM. Kiukweli jumbe zimekuwa nyingi na naanza sasa kuwajibu baadhi ya members ambao ninaona kwamba tunaweza kuendeleza mawasiliano na possibly akapatikana mmoja ambaye tutaridhiana. Endapo utaona sijajibu ujumbe wako please elewa kwamba sijaradhau na pengine you have been turned down.
Shukrani.