Kama kuna akina dada ambao huwa hawaungi mkono juhudi za mkuu na badala yake huwa wanakosoa bhas changamkieni fulsa hiyo ya kwenda kujieleza kwanini huwa hamuungi mkono juhudi za mkuu,Yan kijana mwenye nguvu zake,Ajira yake atangaze kuoa mwanamke yeyote bila vigezo zaidi ya cha umri tuu? Hapa kuna kila dalili za kutafutwa watu fulani wakatoe maelezo Chamwino
NB:nime miss sana ufanisi vijana wa kitengo mama enzi za usimamizi akina Gen Kombe, Apson nk, hawakungoja kuletewa data ama subjects ila waliingia field kuzitafuta wao wenyewe na walipotega mitego bhas walitega mitego kweli sio hawa vijana wa sasa wanao tega mtego wa Mbawala wakati mlengwa wao ana kimo Cha Tembo