Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana hizo nyege zako baadaye usije ukalalamika humuHabari ..wapendwa Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 nipo Dodoma nimeajiriwa, Na itaji mwanamke chini ya miaka 30 sitajali Ana watoto au mtoto awe anapenda utani ,sichagui kabila au rangi
Karibuni.. thanks
Watsap no. 0768244668
Kwanini mkuu ulitaka aweke sifa nyingi za anayemtaka au? Mbona wanawake wakiweka sifa nyingi za wanaowataka mnawaponda?Kijana hizo nyege zako baadaye usije ukalalamika humu
Waambie me Niko serious kabisa na namba yangu nimeweka hapo juu..Kama kuna akina dada ambao huwa hawaungi mkono juhudi za mkuu na badala yake huwa wanakosoa bhas changamkieni fulsa hiyo ya kwenda kujieleza kwanini huwa hamuungi mkono juhudi za mkuu,Yan kijana mwenye nguvu zake,Ajira yake atangaze kuoa mwanamke yeyote bila vigezo zaidi ya cha umri tuu? Hapa kuna kila dalili za kutafutwa watu fulani wakatoe maelezo Chamwino
NB:nime miss sana ufanisi vijana wa kitengo mama enzi za usimamizi akina Gen Kombe, Apson nk, hawakungoja kuletewa data ama subjects ila waliingia field kuzitafuta wao wenyewe na walipotega mitego bhas walitega mitego kweli sio hawa vijana wa sasa wanao tega mtego wa Mbawala wakati mlengwa wao ana kimo Cha Tembo