Natafuta mchumba!! Nipo serious!!

Natafuta mchumba!! Nipo serious!!

Sungura dume

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2016
Posts
571
Reaction score
527
Habari za mida wadau!! Mimi ni kijana umri miaka 28!! Mchaga!! Natafuta mchumba ambaye atakuja kuwa mama watoto wangu!! Awe ameajiriwa, awe ana aidia ya kufanya biashara!! Asiwe mrefu sana awe wastani, sio wale wa mikorogo!! Age 25-30 kabila lolote!! Kwa maelezo zaidi karibu pm
 
Jf ni kisima cha wadada wazuri na wenye malengo chanya, ngoja waje.
 
Habari za mida wadau!! Mimi ni kijana umri miaka 28!! Mchaga!! Natafuta mchumba ambaye atakuja kuwa mama watoto wangu!! Awe ameajiriwa, awe ana aidia ya kufanya biashara!! Asiwe mrefu sana awe wastani, sio wale wa mikorogo!! Age 25-30 kabila lolote!! Kwa maelezo zaidi karibu pm
Download app inatwa Badoo au Hi5 kule ni kumsukuma mlevi huna haja ya kujisifia saana hela yako tu unapata mke wa level uitakayo.
 
Unashindwaje kutafuta kitu kibichi ukilee mwenyewe, ukifundishe hisabati, ukiache home kikupikie, ukifundishe mbinu za biashara,!! Uje utafute nunga embe humu?!?? Ooomy deadbody....ukipata katoto katoto kako kenye maadili.
 
Back
Top Bottom